• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

78 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

Posted on: November 9th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Cornel Magembe leo amefunga mafunzo ya jeshi la akiba awamu ya pili katika tarafa ya Mumbuga wilayani Ukerewe. Hafla hiyo iliyofanyika katika kiwanja cha Ukuta mmoja na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na wazazi wa wahitimu hao. Magembe amewapongeza wahatimu wote kwa kufika hatua hiyo.

Akisoma risala katika hafla hiyo mmoja wa wahitimu ametoa shukurani za dhati kwa wakufunzi wao, wageni waalikwa pamoja na wazazi wawaliohudhuria hafla hiyo. Akibainisha changamoto zinazowakabili wahitimu hao ni sare za kuvaa pindi wanapokuwa kwenye mafunzo yao.

Pamoja na changamoto hizo wahitimu haowamebainisha mafanikio mbalimbali waliyoyapata baada ya kushiriki mafunzo hayo kwa muda wa miezi minne. Baadhi ya mafanikio hayo ni pamoja na kupata ukakamavu wa mwili nma akili, kufahamu mbinu mbalimbali za kivita na mfanzo ya uzamiaji na namna ya kuishi polini.

Kutokana na changamoto hizo wahitimu hao waneiomba Serikali kutoa mafunzo ya awamu nyingineili waweze kukomaa vizuri kivitendo. Pia wameiomba Serikali kuwapa kipaumbele  katika nafasi za kazi katika jeshi, sambmba na hayi wameiomba Serikali kuandaa kambi ya jeshi la akiba ambalo litawasaidia kukaa kambini badala ya kutokea nyumbani.

Akijibu risala hiyo Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Magembe ameahidi kutekeleza ununuzi wa sare, sambamba na hilo amewahasa wahitimu hao kudumisha heshima na nidhamu mitaani na kujiepusha na vikundi visivyofaa. Pia amewaahidi wahitimu hao kuwa atashughulikia makampuni mbalimbali yanayowaajiri walinzi wasiopitia jeshi la akiba, jambo litakalowapa nafasi wahitimu wa jeshi la akiba kuajiriwa.  

Magembe amewasihi wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba kujikinga na ugonjwa wa UKIMWI na maradhi mengine kwa kufuata njia za kujikinga na ugonjwa huo. “Sitarajii kusikia mmoja kati yenu amekufa kwa ugonjwa wa UKIMWI kwa maana mmefundishwa njia za kujikinga na UKIMWI na maradhi mengine” amesema Magembe. Ukakamavu mlioupata katika mafunzo haya utafanya magonjwa nyemelezi kuwa mbali na nyinyi aliongezea Magembe.

Alikadhalika Mhe. Magembe ametoa shukurani kwa wazazi wote waliowaruhusu vijana wao kujiunga na mafunzo hayo. Pia ametoa wito kwa wazazi wote kuwaruhusu vijana wao kuijiunga na mafunzo ya jeshi la akiba pale nafasi zinapotangazwa. Kwani kwa kufanya hivo watajifunza uzalendo wa taifa lao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.