• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Ardhi na Maliasili

IDARA YA ARDHI NA MALIASILI

UTANGULIZI:

Idara ya ardhi na maliasili ina sekta mbili ambazo ni sekta ya ardhi na sekta ya maliasili.

  • ARDHI:

Sekta ya ardhi ina watumishi tisa (9) wa kada mbalimbali zinazohusu ardhi. Sekta hii hushughulika na mambo yafuatayo;

  • Upangaji miji: wataalamu wa ardhi hupanga miji kwa kufanya upimaji wa ardhi na kutenga matumizi mbalimbali ya ardhi kupitia michoro ya mipango miji na ramani za upimaji. Kuanzia june, 2017 wataalamu wanatarajia kupima zaidi ya viwanja 6000 vyenye matumizi mbalimbali kwenye  maeneo tofauti ya Wilaya.
  • Umilikishaji ardhi; maafisa ardhi humilikisha ardhi kwa wananchi baada ya upimaji kukamilika kwa kuwapatia hati miliki za ardhi zao.
  • Usuluhishi wa migogoro ya ardhi: kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni wataalamu husuluhisha migogoro yote ya ardhi inayojitokeza wilayani. Kuanzia tarehe 02/08/2016 Dawati la kusikiliza kero za ardhi lilianzishwa chini ya uenyekiti wa Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Mhe. Estominh Chang’ah ambapo jumla ya migogoro ya ardhi 64 imesikilizwa na kutolewa maamuzi.
  • Ukusanyaji wa mapato ya Serikali kuu: kodi ya pango la ardhi na tozo zinazohusu ardhi hukusanywa.
  • Kufanya uthamini wa ardhi na mali
    • MALIASILI
    • Sekta ya maliasili ina sehemu mbili ambazo ni misitu na wanyamapori.
  • MISITU

    Sehemu hii ina watumishi watano (5) pamoja na mmoja kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania. Wilaya ya Ukerewe ina misitu mitano (5) iliyohifadhiwa. Kati ya hiyo msitu mmoja (Rubya) unamilikiwa na Serikali Kuu na una ukubwa wa hekta 1926. Misitu minne (4) inamilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ambayo ni

    Kabingo LAFR hekta 250

    Itira LAFR hekta 109

    Mkigagi LAFR hekta 116.15

    Negoma LAFR hekta 697.7

    Mnamo tarehe Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe iliingia makubaliano na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa ajili ya uendelezaji wa misitu minne tajwa hapo juu.

    Shughuli zinazofanywa kwenye sekta misitu ni;

    • Kugawa mbegu na viriba vya kuotesha miche ya miti
    • Kuhamasisha upandaji miti kwa jamii
    • Kuhamasisha uanzishaji na utunzaji wa bustani za miti
    • Kufanya ukaguzi wa mazao ya misitu
  • WANYAMAPORI

    Sehemu hii ina mtumishi mmoja ambaye kazi yake ni kuhifadhi wanyamapori na kuhakikisha hawafanyi uharibu kwenye maeneo ya wananchi.

    Idara inafanya kazi kwa kushirikiana na idara zingine ili kuleta maendeleo kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.