• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DKT.BASHIRU AWAASA WANANCHI KUTHAMINI UVUVI NA MIFUGO

Posted on: December 29th, 2025

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Kakurwa amefanya ziara katika Wilaya ya Ukerewe na kuzungumza na wadau wa uvuvi na mifugo katika kijiji cha Mulutilima kata ya Kakukuru ambapo amewataka wananchi wa Ukerewe kuthamini uvuvi na mifugo ili kunufaika na shughuli hizo.

"... tukifanya vizuri katika uvuvi na mifugo tutanufaika na mazao hayo kwa chakula na ajira kama wizara tunahakikisha tunasimamia vyema hali ya uvuvi ili kuleta faraja kwa wananchi hivyo ni jukumu letu Wanaukerewe kuwa walinzi wa ziwa letu..." Dkt. Bashiru.

Aidha Dkt. Bashiru amewahakikishia wadau wa uvuvi kuwa changamoto zitatatuliwa na wananchi watashirikishwa katika kufanya utafiti na wanakuwa sehemu ya maamuzi ili kuhakikisha mawazo yao yanatumika kwa ustawi wa uvuvi na mifugo Ukerewe.

Akiwasilisha matakwa ya Wananchi Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe Ndugu Ramadhan Salum Mazige amesema wadau wanahitaji kuongezewa vizimba vya ufugaji wa samaki, kiwanda cha kuchakata mazao ya samaki pia kupata wataalam wa uvuvi katika chuo cha VETA cha Ukerewe ili kuongeza ufanisi katika suala zima la uvuvi.

David Kaligwa mkazi wa Kakukuru ameisifu serikali kwa jinsi ambavyo imeendelea kuwa karibu na wananchi wake na kuendelea kusikiliza na kupokea changamoto zinazowakabili huku akiiomba serikali kutatua changamoto hizo ili kuleta furaha kwa wananchi. 

Kaimu Mkuu wa wilaya ya Ukerewe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Magu Mhe. Jubilate Lawuo amewataka Wanaukerewe kuzingatia maelekezo ya serikali lakini pia kuwasilisha changamoto zao mahali zinapotakiwa ili kupatiwa ufafanuzi huku akisisitiza serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni sikivu na ipo kwaajili ya wananchi.















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA USAILI December 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • WANAVIKUNDI VYA MIKOPO 10%WAASWA KUWA NA NDOTO KUENDESHA MIRADI MIKUBWA

    January 06, 2026
  • DKT.BASHIRU AWAASA WANANCHI KUTHAMINI UVUVI NA MIFUGO

    December 29, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.