• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 44 CCM MKOA WA MWANZA YAFANA UKEREWE

Posted on: February 6th, 2021

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza ndugu Julius Peter na wajumbe wa kamati ya Siasa Mkoa leo wameadhimisha miaka 44 ya Chama hiko Wilayani Ukerewe ambapo wametembelea miradi miwili ya Ujenzi wa Shule Ya Sekondari Ilangala na Sekondari ya Buzegwe inayotekelezwa na wananchi pamoja na Serikali. 

Malengo katika kuadhimisha miaka 44 ni kutekeleza kwa vitendo kwa kukagua utekelezaji wa ilani na kushiriki miradi ya Maendeleo. 

“Tupongeze kata na Serikali kwa kuwasogezea Huduma wananchi kwa kuanzisha Sekondari hizi”. 

Katika kuadhimisha miaka 44 Katibu wa CCM Mkoa pamoja na wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wamekabidhi mifuko ya saruji 20 ambapo kila Shule imekabidhiwa mifuko 10 ya saruji. 

“Wanufaika wakuu ni watoto wetu hivyo niwapongeze wananchi kwa juhudi hizi hakika tuendelee kuboresha miundombinu ya kusomea watoto wetu”. Alisema Peter.


Mhe. Joshua Manumbu diwani wa kata ya Igalla na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe ameeleza kuwa Halmashauri kupitia kamati ya Fedha imetenga fedha ambazo zitaletwa kwa ajili ya kuongeza nguvu ujenzi wa Shule mpya zinazoendelea kujengwa ikiwemo Ilangala na Buzegwe.


Mwenyekiti CCM Wilaya ya Ukerewe Mhe. Alli Mambile Amewataka wana CCM kuimarisha mshikamano na wananchi waendelee washiriki katika shughuli za Maendeleo katika kata zetu 

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.