• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MGUMBA ATOA MAELEKEZO MAKALI JUU YA SKIMU ZA UMWAGILIAJI UKEREWE

Posted on: July 25th, 2019

Mhe. Omary Tabweta Mgumba Naibu Waziri wa Kilimo amefanya ziara ya kikazi ya siku moja katika Wilaya ya Ukerewe na kupokelewa na viongozi wa Wilaya Kaimu Mkuu Wa Wilaya na Katibu Tawala wa Wilaya Focus Majumbi, Mbunge wa Ukerewe Mhe. Joseph Mkundi, kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Hellen Rocky pamoja na wataalamu wa Idara ya Kilimo.

Mhe. Omary Tabweta Mgumba Naibu Waziri wa Kilimo ametembelea skimu za umwagiliaji za Miyogwezi lenye hekta 120, skimu ya Bugorola lenye hekta 200. Ambapo katika skimu zote mbili hazijakamilika.
Skimu ya Miyogwezi thamani ya mradi hadi kukamilika Ulitakiwa kutumia zaidi ya Tsh. Milion 700 na mkandarasi alilipwa Tsh. Milioni 684.
Mgumba amesikitishwa na kutokukamilika kwa miradi hiyo na kutoa maelekezo.
Ameelekeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Kanda ambao ndio walioluwa wasimamizi kuwasilisha taarifa ya kina kuhusu mradi huo kwani fedha nyingi zililipwa na mradi haijakamilika.
Wote waliohisika na Kutumia kinyume na mipango ya Serikali hatua za kisheria zichukuliwe juu yao. Alisema Mgumba.

Mhe. Omary Tabweta Mgumba Naibu Waziri wa Kilimo Ameelekeza Chuo cha Utafiti cha Ukiriguru wafike Ukerewe kuchunguza kwa kina juu ya magonjwa na wadudu wanaoshambulia Muhogo.
Aidha amewataka Kituo cha Udogo cha Mlingano Tanga kutuma wataalamu kufanya tafiti ya tabaka na afya ya udongo ili kubaini matatizo katika udongo na waje na majibu yakitaalamu.

Amewataka wakulima wabadilike na walime kisasa kwa kitumia mbolea kwani inatibu ardhi na Udongo. "mbolea ndio tiba inayoongeza virutubisho vilivyopungua kwenye ardhi na udongo.  Mgumba.

Ametoa rai kwa Wafanyabiashara waliokomikoa yenye uzalishaji mkubwa wa chakula kutumia fursa ya kuleta chakula Ukerewe na kuuza kwa bei nafuu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.