• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

VETA UKEREWE YAFIKIA 42%

Posted on: February 18th, 2021

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Kipanga Juma Omary (MB) leo amefanya ziara ya kikazi Wilayani Ukerewe na kutemebelea na kukagua mradi wa Chuo cha Ufundi VETA mradi unaotekelezwa kata ya Bukanda kijiji cha Muhula.


Mradi huu unagharimu kiasi cha Tsh. Bilioni 1.6 na maandalizi ya eneo la ujenzi ulianza January 2020 na kuanza rasmi kwa ujenzi ni tarehe 2/4/2020 na unatarajiwa kukamilika tarehe 31/3/2021 na majengo yanayojengwa ni 18 yanayojumuisha nyumba 3 za watumishi, jengo la Utawala, karakana 4 zenye fani 6, mabweni 2 na jengo moja la jiko na bwalo, jengo la darasa, jengo la umeme, Mlinzi na majengo 3 ya vyoo. 


Baada ya kukamilika chuo kinategemea kuwa na fani 6 ambazo ni fani ya uchomeleaji, ushonaji, ufundi magari, uashi, umeme wa majumbani, uazili na kompyuta. Mhe. Kipanga ameomba Halmashauri kuona umuhimu wa kuwaongezea veta eneo kwani chuo hiko hapo baadae kitahitaji upanuzi. 


Lengo la ujenzi wa vyuo vya VETA ni kuwezesha vijana wanaomaliza kuanzia darasa la saba na kidato cha nne na hawakuweza kufanikiwa kuendelea na vijana wengine watakao kuwa wanapenda kufanya kazi za mikono Wanaweza kuingia kwenye mafunzo haya. 

“Lengo kuu ni kuwa na stadi ambazo zinaendana na shughuli kuu za maeneo husika kama Uvuvi, madini na kumuwezesha mtu kuongeza ubora katika shughuli hizo za kiuchumi”. Alisema Kipanga


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Cornel Magembe ameishukuru Serikali kwa kuleta mradi huo katika Wilaya ya Ukerewe kwani utaenda kuwa wa manufaa sana kwani ni moja ya mradi unaosubiriwa kwa hamu na wanaukerewe ili waanze kusoma kwani stadi za ufundi zinazotolewa na VETA wanaukerewe walizifuata mwanza na maeneo mengine ya nchi. 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.