• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WAHAMIAJI HARAMU MARUFUKU VISIWANI UKEREWE

Posted on: February 12th, 2020

Wahamiaji haramu waliopo katika maeneo ya visiwa kutoka nje ya nchi watakiwa kujisalimisha na kufuata taratibu za kisheria kabla ya kuanza kwa zoezi la kuwabaini wote na kuwachulia hatua kali za kisheria ikiwa sambamba na kuwafikisha mahakamani.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara alipokuwa akiongea na wananchi pamoja na wavuvi wa kitongoji cha kisiwa kidogo Ghana kata ya Ilangala wilaya ya Ukerewe Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella alisema awawezi kukimbia wajubu wao, hivyo wahamiaji hao wajitokeze kabla hawajakamatwa, wanapokimbia huko kwao wanakimbilia visiwani wakihitaji kuishi nchini wafuate taratibu zote na wataishi wa amani.

Pia aliwataka wananchi hao kuacha tabia ya kujifanya waungwana kwa kuwakaribisha wageni hao wasiokuwa na vibali hivyo watambue hiyo ni hatari na siku wakibainika sheria nayo itawaingiza hatiani.

“Hapa Gana wahamiaji haramu wanapependa sana mtu akisha kurupushwa huko Burundi au Rwanda kituo cha kwanza ni Gana na nyinyi waswahili wanafiki kwa kujifanya waungwana mnawakaribisha mjue hiyo ni hatari inawakabili siku za usoni taarifa zote tunazo”alisema Mongella.

Aidha Mongella ametoa kipindi cha miezi mitatu kwa uongozi wa kijiji hicho kuandaa taarifa ya mapato na matumizi baada ya kuonekana ubadhilfu wa fedha za wananchi za kuchangia shughuli za maendeleo.

Mkuu wa Wilaya hiyo Cornel Magembe akizungumzia changamoto ya viongozi wakijiji kuwa na malumbano aliitaka kamati ya siasa ya kata hiyo kupata taarifa ya kuwajadili mwenyekiti wa kitongoji na wakijiji kwa sababu hawawezi kufanya kazi na watu wenye maslahi yao binafsi .


“Tunahitaji taarifa ya hawa watu wawili,hatuwezi ukakaa na watu ambao sisi tunakazana kwenda mbele wao wanapigana kwa maslahi yao binafsi tutakapobaini mmoja wao ana matatizo tutamuondoa tutaleta mwingine na atachaguliwa hapa”. alisema Magembe.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.