• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

ELIMU YA FISTULA YATOLEWA BUGOROLA NA KAKUKURU.

Posted on: August 7th, 2020

Shirika la AMREF, MAPERECE na Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Idara ya Maendeleo Ya Jamii imetoa Elimu kwa wananchi wa kata ya Murutunguru Eneo la Bugorola na Kata ya Kakukuru, lengo likiwa ni kutoa Elimu ya Ugonjwa wa Fistula.


Dkt Magdalena Dhalla Afisa Mradi Msaidizi AMREF ameeleza kuwa ugonjwa wa Fistula upo na dalili zake ni mwanamke kutokwa na mkojo au haja kubwa au vyote kwa pamoja kupitia njia ya uzazi bila kujizuia.


“Fistula ya uzazi husababishwa na uchungu wa muda mrefu kwa mama mjamzito na uzazi pingamizi bila kupata huduma ya dharura ya uzazi”.Alisema Dkt Dhalla.


Dkt Dhalla ameeleza kuwa matibabu ya Fistula ni Bure na mgonjwa hatatumia fedha yake wakati wote wa matibabu.


Nakaniwa Mshana Afisa Mfuatiliaji na Mtathimini MAPERECE amewasisitiza wanawake kuhudhuria kliniki mapema Mara tu wanapojitambua kuwa na ujauzito.

Atanasio Kwayonga Mratibu wa Haki na Sheria ametoa rai kwa wanaume kuwafikisha katika matibabu wanawake wanapopata ugonjwa huo ili kutibiwa kwa wakati.


Crispin Theobald Mratibu wa Fistula Wilaya amewasihi wanawake kuwasiliana na mabalozi wa fistula waliopo katika kata zote za Wilaya na wao wataratibu mgonjwa kufika Hospitali ya Wilaya na Hospitali ya Rufaa Bugando kwa Matibabu bila malipo yoyote.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA USAILI December 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MAPATO YA NDANI NI UTI WA MGONGO WA HALMASHAURI YETU - MHE.MAZIGE

    December 05, 2025
  • WALIMU WAASWA KUWA WABUNIFU NA WASIKIVU

    December 04, 2025
  • UADILIFU NA UWAJIBIKAJI KWA WALIMU NI NGUZO YA MAFANIKIO

    December 03, 2025
  • DC NGUBIAGAI AWAASA VIJANA KULINDA AMANI

    December 01, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.