• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

Posted on: February 2nd, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai amewaasa wananchi wa Ukerewe kutumia njia halali kutafuta haki na kuepuka njia za mkato zinazowakutanisha na wanasheria wasio sahihi.

Ameyasema hayo wakati wa kilele cha madhimisho ya siku ya sheria nchini yaliyofanyika leo Februari 02,2026 katika viwanja vya Mahakama ya wilaya ya Ukerewe yakihudhuriwa na wadau mabalimbali wa sheria, asasi za kijamii na wananchi yakilenga kuimarisha haki kwa maendeleo ya jamii ya Ukerewe na taifa kwa ujumla.

"... ni vema mkatumia njia halali za kutafuta haki muepuke kujichukulia sheria mkononi mtumie vyombo halali badala ya visasi, fitina na maneno ya mitandaoni, mahakama si adui wa mwananchi bali ni adui wa kuvunja sheria..." Amesema.

Akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa mahakama ya Ukerewe Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya hiyo Mhe. Ally Bushiri amesema mahakama imefanikiwa kulinda haki za binadamu kama zilivyoainishwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13-29 na sheria za kimataifa, imedumisha utawala wa sheria, imetatua migogoro mbalimbali ya kodi na uwekezaji, imewaadhibu wenye makosa ya jinai, imelinda makundi maalum na kusimamia haki za kisiasa.

Nae mwakilishi wa Chama cha mawakili (TLS) wakili msomi Charles Mkaima amewasihi wananchi kutoamini mawakili vishoka wasio na sifa katika kuendesha kesi zao, wafike mahakamani kupata wataalam ili kupata haki itakayotokana na taaluma sahihi kutoka kwa wataalam wa sheria.

Kwa upande wake mwakilishi wa TAKUKURU wilaya ya Ukerewe Ndg. William Mapunda amewaasa wananchi kuzifahamu sheria za nchi, kuepuka kupokea na kutoa rushwa na kutoa taarifa za uhalifu ,kuwa tayari kutoa ushahidi mahakamani pale itakapobidi.

Elizabeth Adam ni mkazi wa kijiji cha Nkilizya yeye amepongeza juhudi za mahakama kuwashirikisha wananchi kupitia mafunzo mbalimbali huku akiahidi kuwa balozi kwa wananchi wengine kushiriki katika mafunzo ya kisheria yanayotolewa nyakati mbalimbali.







Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.