• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

" BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

Posted on: January 28th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai amewaasa waheshimiwa madiwani kufanya kazi kwa bidii,kuwaunganisha wananchi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kijamii na kuchochea maendeleo ndani ya maeneo yao na Wilaya kwa ujumla.

Ametoa rai hiyo wakati akizungumza katika mkutano wa baraza la madiwani kujadili mapendekezo ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ukiongozwa na mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Ramadhan S.Mazige .

Cde.Ngubiagai ameongeza kuwa ni vyema mijadala ya baraza ikajikita zaidi kwenye hoja zenye suluhisho zenye kuleta mshikamano na maendeleo badala ya lawama au migawanyiko isiyo na tija.

" Baraza la madiwani ni kioo cha uongozi kwa wananchi,tukifanya kazi kwa pamoja,kwa maslahi mapana ya nchi yetu hakuna changamoto itakayokuwa kubwa kushindwa kuikabili."

Nae Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi Ukerewe Mhe.Ally Mambile amesema bajeti inabeba malengo na maono ya Halmashauri na kwamba ni mategemeo yake bajeti hiyo itajibu ilani ya chama cha mapinduzi.

Vincent Augustino Mbua ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe yeye ametoa taarifa ya mapokezi ya watumishi ajira mpya 2026 ambapo jumla yao ni 152 huku akibainisha kuwa zoezi la mapokezi limefanikiwa kwa 100% kwa watumishi wote 152 kuripoti kazini.

Akihitimisha mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Mazige amewataka wataalam kuzingatia ushauri na maoni yalioibuliwa katika mijadala mbalimbali wakati wa kujadili bajeti hiyo.







Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.