• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

VITAMBULISHO VYA WAZEE UKEREWE SULUHISHO LA MATIBABU YAO

Posted on: June 3rd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cornel B. Magembe azindua rasmi ugawaji wa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee katika wilaya ya Ukerewe. Uzinduzi huo wa vitambulisho vya wazee umefanyika katika kijiji cha Nansole kata ya Bukindo na kuhudhuriwa na viongozi wa Wilaya ikiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri George M. Nyamaha, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Graygor Kalala, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi, Ester A. Chaula. Takribani wazee 15,000 wanatarajiwa kunufaika na vitambulisho hivyo kwa ajili ya matibabu bure ya wazee.

Akizungumza wa wananchi wa Nansole Mwenyekiti wa Halmashauri George M. Nyamaha amewapongeza wazee wote waliojitokeza kupigwa picha ili kupatiwa vitambulisho hivyo. Ameeleza ni mpango wa Halmashauri kutekeleza matakwa ya Ilani ambapo inawataka wazee wenye miaka 60 na kuendelea kupata matibabu bure. Hivyo baraza lake lilisimamia na kuhakikisha fedha zinapatikana na kuwezesha wazee kupata vitambulisho hivyo.

Graygor Kalala Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa Kata ya Bukindo ameshukuru kwani wazee 99 walioandikishwa katika kijiji cha Nansole wote wanapatiwa vitambulisho hivyo vya matibabu bure kwa wazee.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Ester Chaula amesema kwa kushirikiana na idara ya afya ataendelea kuhakikisha wazee wote wenye vitambulisho hivyo wanapata matibabu kwa haraka na kwa kipaumbele pindi waendepo kutibiwa.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cornel Magembe amempongeza Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha kwa kusimamia na kuhakikisha zoezi hilo linafanikwa. Huu ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi na hasa katika kuhaikikisha wazee wenye umri wa miaka zaidi ya 60 wanatibiwa katika zahanati, vituo vya afya na hospitali.

 Amewataka watoa huduma wa afya wawape kipaumbele wazee kwani ni jambo la heri kwani hata ambao ni vijana sasa ni wazee watarajiwa. Aidha amewahimiza wananchi kuendelea kuchangia maendeleo na kuwataka wawemstari wa mbele kwani maendeleo ni ya Ukerewe ni yetu sote. “kuna miradi mbalimbali ya maendeleo nilianzisha ikiwemo ujenzi wa madarasa ambapo mpaka sasa madarasa 316 yamejingwa kwa nguvu ya wananchi, tushirikiane kuyajenga maboma hayo na Serikali/Halmashauri itakamilisha”. Alisema Magembe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • " UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

    June 28, 2025
  • MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

    June 27, 2025
  • BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

    June 25, 2025
  • " TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

    June 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.