Tuesday 23rd, April 2024
@Majumbani
Zoezi linalotarajiwa kuanza tarehe 3/3/2020 mpaka tarehe 30/3/2020 likiwa na lengo kubwa la kukabiliana naugonjwa wa Malaria ambao kwa mkoa wa Mwanza Wilaya ya Ukerewe Ndio unaoongozakwa takwimu za 2019 ni 39%ya wagonjwa wa nje yani (OPD) walikua na vimelea vyaMalaria na wajawazito 16 kati ya 100 wana vimelea vya malaria.
“Nilengo la serikali kuhakikisha wananchi wake wako na kinga thabiti na Bora ilikuakikisha inakua na jamii yenye afya Bora na kuto kuathiri nguvu kazi ambayoni tija kwa mtu binafsi na nchi”.
KAYA 87,599 katika kata 25 na vijiji 76 zitafikiwa na zoezi hilo.
Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.