• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 55.6 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

Posted on: January 29th, 2026

Baraza la waheshimiwa madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe limepitisha mapendekezo ya mpango na Bajeti ya kukusanya na kutumia jumla ya kiasi cha shilingi Bilioni 55,617,500,000 .00 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2026/2027 .

Katika mchanganuo wa bajeti hiyo shilingi Bilioni 2,167,103,000.00 ni matumizi mengineyo kwa fedha za ruzuku ya serikali kuu, 2,246,507,400.00 ni fedha ya makusanyo ya mapato ya ndani, mapato lindwa 810,850,000.00 na 1,497,671,000.00 kwa ajili ya miradi ya maendeleo inayoleta jumla ya mapato ya ndani kuwa Bilioni 4,555,029,000.00 sambamba na 37,193,256,000.00 fedha ya ruzuku ya mishahara kutoka serikali kuu na 13,199,783,600.00 fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mkutano huo wa baraza umefanyika leo Januari 29, 2026 katika ukumbi wa Halmashauri ukiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Mhe. Ramadhan Salum Mazige.

Aidha katika mwaka wa fedha 2026/2027 Halmashauri imepanga kutekeleza vipaumbele mbalimbali:

1. Kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kuimarisha makusanyo ya vyanzo vilivyopo na kuongeza vyanzo vipya.2. Kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji 3. Kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii4. Kuongeza uzalishaji wa mazao ya biashara, chakula, kuimarisha uvuvi na ufugaji endelevu.5. Maswala mtambuka kama vile unyanyasaji wa kijinsia,VVU/UKIMWI,dawa za kulevya,lishe, mazingira n.k


Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.