• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Baraza la Madiwani limepitisha Tsh. Bilioni 45 kwa mwaka 2018/19.

Posted on: March 6th, 2018

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe limepitisha Tsh Bilioni 45,466,478.00 ikiwa ni makadirio ya mapato ya mwaka 2018-2019, fedha hiyo imepitishwa katika kikao cha baraza maalumu la bajeti lililofanyika katika Ukumbi mkubwa wa Halmashauri na kuongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha na Makamu Gabriel K. Graygor na Katibu wa kikao hiko Mkurugenzi Mtendaji Frank S. Bahati.

Baraza maalumu limelenga kuhakikisha kuna uelewa wa pamoja na kuwaletea maendeleo wananchi wa Ukerewe kwa kupitisha bajeti ya mwaka 2018-2019 ambapo kupitia fedha hizo wananchi watanufaika na miradi ya maendeleo. Halmashauri ya Wilaya imelenga kukusanya kiasi hiko kutoka katika vyanzo vya ndani, serikali kuu na wahisani kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za kawaidi na miradi ya maendeleo, alisema John Msafiri Afisa Mipango wa Halmashauri.

Mkurugenzi Mtendaji Frank S. Bahati alisema kuwa Katika kutekeleza na kuhakikisha adhma ya Serikali katika kuwahudumia wananchi imelenga kuhakikisha miradi inayotekelezwa inakamilika kwa wakati na kuanza kufanya kazi ili kuleta matokeo chanya kwa jamii. Ameahidi kuhakikisha mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Bwisya unaoendelea wataalamu wanafanya kazi kwa bidii na kuukamilisha kwa wakati.

Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha amewataka wataalamu kuhakikisha wanajituma ilikuwaletea maendeleo wanaukerewe na pia ametoa rai kwa Waheshimiwa Madiwani wote kutoa maoni ya miradi ya kimkakati ambayo ipo katika maeneo yao na ambayo itawezesha Halmashauri ya Wilaya kuweza kujiendesha na kupunguza utegemezi Kutoka Serikali Kuu.


Focus Majumbi Katibu Tawala wa Wilaya ametoa wito kwa Halmshauri kuongeza nguvu katika kuibua vyanzo vipya vya mapato na kuimarisha vilevilivyopo katika Wilaya ya Ukerewe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.