• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

Posted on: January 19th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai amefanya ziara ya kawaida kutembelea miradi ya maendeleo yenye thamani ya jumla ya shilingi milioni 906,900,000 katika kata ya Ngoma lengo likiwa  kukagua, kuona uendelevu sambamba na kutoa maelekezo yenye tija katika kuhakikisha kuwa miradi yote inakamilika kwa wakati kwa viwango vinavyokubalika.

Akizungumza na wataalam wakati wa ukaguzi huo katika shule ya msingi Hamukoko Mhe.Ngubiagai amesema serikali ya awamu ya sita imejipanga kupambana na maadui watatu ambao ni ujinga,maradhi na umaskini kwa kuendelea kuboresha miundo mbinu mbalimbali katika sekta zote ikiwemo afya na elimu.

Akisoma taarifa ya mradi Mkuu wa shule ya msingi Hamukoko Mwl. Maneno Paul amesema shule yake ilipokea shilingi milioni 221,200,000 kutoka serikali kuu kupitia program ya BOOST kwa ajili ya ujenzi wa vyumba saba vya madarasa,matundu 12 ya vyoo na ukarabati miundo mbinu chakavu.

"..unapoweza kumuondolea mtu ujinga utaliwezesha taifa kuwa na maendeleo.Ndo maana serikali inaendelea kuboresha mazingira wezeshi ya kutoa elimu.." amesema Cde.Ngubiagai 

Nae diwani wa kata ya Ngoma Mhe.Mgeta Musa Nyagabona ameishukuru serikali kwa kutoa fedha hizo na kuwataka wananchi wake kubeba umiliki wa miradi yote inayotekekelezwa.

Sprian Rasil Msilange ni mwenyekiti wa kijiji cha Hamukoko amewasihi wananchi wake waendelee kulinda mazingira .

Miradi mingine iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya kata ya Ngoma awamu ya kwanza kwa gharama ya shilingi milioni 250 ambapo hadi sasa ujenzi umefikia 83%.Ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na maabara tatu katika shule ya sekondari Mumbuga miradi inayotekekelezwa kwa shilingi milioni 105 fedha kutoka serikali kuu sambamba na ujenzi wa majengo ya shule mpya ya mkondo mmoja katika shule ya msingi Butiriti.

Akihitimisha ziara hiyo Cde.Ngubiagai ameelekeza jamii kushirikishwa kikamilifu katika miradi yote tangu mwanzo na kuitaka Halmashauri kuweka utaratibu wa kulinda mipaka ya maeneo yote ya umma.













Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.