• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

Posted on: January 14th, 2026

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe ndugu Wanchoke Chinchibela amefungua rasmi mafunzo ya siku moja juu ya mfumo wa taarifa za shule "School Information System"(SIS) yaliyohudhuriwa na Maafisa elimu kata, Wakuu wa shule za sekondari na msingi katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya sekondari Bukongo.

Akizungumza wakati wa ufunguzi huo Ndugu Chinchibela amewataka maafisa na walimu hao kubadilika kifikra na kuanza kutumia mfumo huo unaolenga kuongeza ufanisi shuleni ili kukidhi matakwa ya serikali.

Aidha, amewataka maafisa elimu kata kuwasimamia walimu wakuu wa shule zote kutoa mafunzo hayo kwa walimu ngazi zote ili halmashauri iweze kukidhi mahitaji ya mfumo sambamba na maelekezo ya serikali katika kurahisisha utunzaji na upatikanaji wa taarifa punde zinapohitajika.

Kwa upande wake Afisa elimu msingi wilaya ya Ukerewe Mwl. Bahati Mwaipasi amewasihi walimu hao kuwa waminifu na kutoa taarifa sahihi huku akiwataka kuuchukulia mfumo huo kwa uzito kwani ni agizo la serikali ili kuepuka hatua kali zinazoweza kuchukuliwa dhidi yao.

Akitoa mafunzo kuhusu mfumo huo Afisa elimu msingi vifaa na takwimu Daniel Edson Nalingigwa amesema mfumo wa SIS unahusika na taarifa zote za shule,za wanafunzi,walimu, miundo mbinu na kuwataka kuwa makini ili kutokuchanganya mchanganuo wanaotakiwa kujaza katika mfumo huku akiwaasa kuwa lengo la mfumo huo ni kuona uhai wa taasisi.

Evodias Mbila ni mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Nansio amewaomba walimu hao kuwasiliana ili kuendelea kukumbushana juu ya elimu hiyo kuepuka changamoto zinazoweza kukitokeza.

Mbali na mafunzo hayo ndugu Chinchibela amewataka Maafisa elimu kushirikiana na watendaji wa kata na vijiji katika kuhamasisha zoezi la uandikishaji watoto kwa elimu ya awali na msingi ili kukidhi maoteo na matarajio ya halmashauri kwa mwaka 2026.


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.