• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

BENKI YA KILIMO YATOA MILIONI 200 UJENZI WA KIWANDA CHA BARAFU UKEREWE

Posted on: May 31st, 2020

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania leo imetoa hundi ya Tsh 200,000,000/- kwa kikundi cha Ushirika cha BUKASIGA kutimiza malengo yao kwa kujenga kiwanda cha barafu. Shughuli ya makabidhiano ya hundi iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo Bw. Japhet Justin na kukabidhiwa kwa kikundi na Mhe. Abdalah Ulega Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi imefanyika katika kata ya Kakukuru.


Bw. Japhet Justin Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo amesema kuwa sekta ya uvuvi ni mihimu sana kwani imenatoa ajira nyingi kwa watu. Bukasiga waliandika andiko na kuomba pesa na kubadilisha maono yao kuwa vitendo na kuongeza mnyororo wa thamani katika mazao ya samaki. "Naamini wakifanya vizuri benki yetu haitosita kuwaongezea fedha". Alisema Justin.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe Bi. Ester Chaula ameishukuru Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Benki ya Kilimo kwa kukitambua kikindi hiki na kukipatia mkopo. "niahidi kwamba malengo ya kikundi yatafikiwa na tutakuwa pamoja na halmashauri itatoa wataalamu wawili wa Uvuvi na fedha watakao fanya kazi bega kwa bega kufikia malengo yao". Alisema Chaula.

Mhe. Abdalah Ulega Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi amewapongeza Bukasiga kwa kuunda vikundi cha Ushirika na sasa wanaanza kunufaika kwani wanakwenda kujenga kiwanda cha barafu na kukausha dagaa ambazo zilikua zinaharibika wakati wa mvua za masika. Adhma ya mhe Rais wetu Dkt John Magufuli ni kuwa na viwanda hakika inakwenda kutimia Ukerewe. "tunampongeza sana Rais wetu kwa kuwajali wavuvi na kuhakikisha ustawi katika sekta hii kwa kutoa mikopo kupitia benki aliyoianzisha" alisema Ulega.

Ulega amehimiza wavuvi kuunda umoja wao na kuwa na vikundi kama Bukasiga na wataweza kukopeshwa ili kuongeza tija katika uvuvi.

Josephat Mazula Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe ameshukuru Serikali ya awamu ya Tano kwa kuwezesha ustawi wa wavuvi kwa maendeleo ya Wilaya ya Ukerewe.

 Bukasiga imejipanga kutumia vema fedha hizo kwa kuhakikisha wanajenga kiwanda cha barafu kwa uhitaji wa barafu katika shughuli za uhifadhi wa samaki baada ya kuvuliwa ni mkubwa sana. Alisema Jumbula Lugola Makamu Mwenyekiti wa Bukasiga.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.