• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

Posted on: June 25th, 2025

"..Jumla ya kiasi cha shilingi Bilioni 39 kutoka serikali kuu kupitia miradi ya kimkakati kimeshaanza kujenga hospitali kubwa katika kijiji cha Bulamba ndani ya kata ya Bukindo yenye hadhi ya rufaa hapa kwetu Ukerewe.."

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde Christopher E. Ngubiagai alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata ya Ngoma katika mkutano wa hadhara ikiwa ni muendelezo wa ziara zake wilayani humo kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Cde.Ngubiagai amewataka wananchi wake kuacha imani potofu zinazogharimu vifo vya wengi .

Serikali ya awamu ya sita inaendelea kuboresha sekta ya afya kwa kujenga hospitali mpya, kukarabati miundo mbinu mbalimbali na kuongeza vifaa tiba na dawa.

"..kina mama kujifungulia majumbani acheni, hakuna sababu ya kuendelea kufanya hivyo kwa sababu hali hiyo inahatarisha usalama wewe na mtoto na sisi tunawahitaji wote muendelee kuwepo mkiwa na afya njema.." amesema Cde. Ngubiagai 

Dkt.Charles Mkombe ni kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe yeye anapongeza wananchi kwa kuendelea kuhamasika kupata huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma hizo vilivyopo kwenye maeneo yao.

".. Tayari tumekwisha pokea milioni 250 awamu ya kwanza kwa ajili ya upanuzi wa zahanati ya Hamkoko iliyopo hapa kata ya Ngoma kupanda hadhi na kuwa kituo cha afya.."

Verediana Fabian ni mjumbe wa serikali ya kijiji cha Muluseni yeye anashukuru kwa huduma za afya zinazoendelea kutolewa kijijini hapo huku akipongeza mpango wa serikali kufanya ukarabati wa zahanati ya Mkoko iliyopo jirani na kijiji chao cha Muluseni.

















Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • " UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

    June 28, 2025
  • MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

    June 27, 2025
  • BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

    June 25, 2025
  • " TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

    June 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.