• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

CHANG’AH AFUNGUA MAFUNZO YA MGAMBO UKEREWE

Posted on: August 18th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Estomihn F. Chang’ah amefungua mafunzo ya jeshi la akiba la mgambo. Jeshi la akiba la mgambo linaendesha mafunzo ya wilaya ambapo yanafanyika katika maeneo mawili ambayo ni Masonga kata ya Kakukuru na Bukindo kata ya Bwiro. Katika ufunguzi huo akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya.

Chang’ah amewataka vijana hao kujituma na kupata mafunzo hayo kwani ni muhimu sana kwani wananchi wametambua maana ya ulinzi na usalama kwa kukubali vijana kujiunga na jeshi la akiba la mgambo. “Huo ni uzalendo” Chang’ah. Amehimiza kuwa kazi ya ulinzi wa amani ni kazi ya askari jeshi, polisi,magereza bali amesisitiza kuwa hiyo ni kazi ya kila mtu hivyo amewapongeza sana kwa kujitoa.

Ametoa wito vijana wote waliokimbia jeshi hilo la akiba la mgambo kurudi kwani zipo faida nyingi sana la mafunzo hayo kwani yatawafanya wawena mazoezi yatakayowawezesha kujilinda na kulinda jamii, pia watapata cheti ambacho kitawasaidia kupata nafasi za kazi.

Sgt. Fales Washairi ni Mshauri wa Mgambo wilaya ameeleza kuwa mpaka kuna makundi mawili yanayopata mafunzo ambapo Masonga Kakukuru wapo vijana 132 na Bukondo wapo vijana 106 hivyo kufanya jumla ya vijana wataakao pata mafunzo hayo kuwa ni 238 ambayo ni idadi nzuri ulinganisha na mgambo 30 walio kuwepo awali.

Washairi amesema mafunzo hayo yameanza tarehe 22/6/2017 na yataendeshwa kwa wiki 16 mfululizo na yatahusisha mafunzo ya zimamoto, mafunzo ya kupambana na kuzuia rushwa, afya na uzalendo.

Chang’ah amepongeza sana kwani wilaya imefanikiwa kuvuka lengo  la kuwa na jeshi la akiba lenye vijana 238 ambapo mkoa ulitaka wasiwe chini ya vijana 200.


Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.