• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC AONGOZA WANANCHI KUCHIMBA MSINGI NKILIZYA

Posted on: November 10th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Kanali Denis Mwilla ameshiriki katika uchimbaji wa msingi wa madarasa manane (8) katika Shule ya sekondari Nkilizya Wilayani Ukerewe Mkoani Mwanza.


Akizungumza na wananchi waliojitokeza kushiriki zoezi hilo, Kanali Mwila ame fafanua kuwa Wilaya ya Ukerewe imepokea fedha kutoka serikalini takribani kiasi cha billioni tatu ambazo zitajenga madarasa 155 ya sekondari kwa thamani ya B 3.1, madarasa manne kila shule kwa shule tatu za msingi shikizi yenye thamani ya millioni mia moja na sitini (M.160), bweni moja la watoto wenye mahitaji maalumu lenye thamani ya millioni themanini (M.80).

Kanal Mwila ameelezea changamoto iliyopo ni kukosekana kwa simenti jambo ambapo tayari ame wasiliana na mamlaka za juu ili kuharakisha uwepo wa simenti kwa kila kituo cha ujenzi ili ifikapo tarehe 15/12/2021 miradi yote iliyo ainishwa iwe imekamilika wilayani hapo.


Kwa upande wake Kaimu Mtendaji Kata ya Nkilizya Janeth Haningtone ametoa shukrani zake kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwa fedha zilizo elekezwa wilayani Ukerewe kuwa zitasaidia kutatua kero ya upungufu wa madarasa wilayani hapo, aidha amewaomba wananchi wajitolee zaidi katika shughuli za maendeleo kwa kuwa wana mchango mkubwa katika kuijenga Tanzania moja na yenye maendeleo hasa upande wa miundo mbinu ya elimu.


Katika hatua nyingine mwenyekiti wa kitongoji Cha Kenonzo Kijiji cha nkilizya kata ya Nkilizya Bw. Vicent Mrugwa akiongozana na wananchi wake, ameelezea kufurahishwa na msaada huo wa madarasa manane katika eneo lake na kuahidi wapo tayari kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika kushiriki maendeleo anayoyapeleka kwa wananchi.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.