• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC MAGEMBE AHIMIZA MAENDELEO UKARA.

Posted on: January 25th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Mhe. Cornel Magembe amefanya ziara ya siku nne katika tarafa na kisiwa cha Ukara ambapo lengo kuu la ziara hiyo ni kujitambulisha na kuhamasisha maendeleo katika kata, vijiji na vitongoji. Katika ziara hiyo ameambatana na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ukerewe Sistaimelda Lubengo pamoja na wataalamu wengine.

Magembe ametembelea vijiji nane katika taarafa ya Ukara kwa lengo la kujitambulisha, kuhimiza na shughuli za maendeleo  kwenye jamii katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu, afya, mazingira na kilimo.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Cornel Magembe amekagua  miradi ya maendeleo katika kisiwa hiko ambapo katika sekta ya afya amekagua ujenzi wa kituo cha afya Bwisya na ameridhishwa na kasi nzuri ya ujenzi wa kituo hiko ambayo inatarajiwa kukamilika mwezi februari mwaka huu. Pia amekagua zahanati mbali mbali ikiwemo zahanati ya Nyang’ombe ambayo haina choo hivyo amesema endapo fedha za ujenzi wa kituo cha afya Bwisya ukikamilika na pesa kubaki basi itatumika kujenga choo.

Shule ya Sekondari Nyamanga kuanza kutumika tarehe 28 januari 2019 na wanafunzi wote wanaokwenda kusoma Bwisya na Bukiko ambao ni 280 waanze mara moja kwani majengo ya Nyamanga yaliyokuwa yametelekezwa na serikali ya kijiji yatakuwa yamekamilika. “Haiwezekani wananchi mkachanga fedha zenu mkatumia nguvu zenu mkajenga madarasa halafu yakaacha kutumika haiwezekani katika serikali ya Magufuli.” Alisema Magembe.

Madarasa manne ya Sekondari ya Bukungu yakamilike kufikia 30/06/2019 na tarehe 8/07/2019 watoto wote wanaotoka Chifule na Bukungu kuanza kutumia majengo hayo na  Viongozi wote walio tumia vibaya fedha za ujenzi wa Sekondari ya Bukungu milioni 24 kukamatwa mara moja na TAKUKURU kufanya uchunguzi kuwabaini wote waliohujumu ujenzi huo.

Amewataka wanaukara na vitongoji vyake kuachana na ngono zembe kwa kutotumia kinga na kupata maradhi, amewasihi watu wote kutnza mazingira ili yawatunze na kuhakikisha wanaachana na tabia mbaya yakwenda kujisaidia na kuoga ziwani kwani ndio chanzo cha magonjwa ya milipuko kama kipindupindu.

Magembe ameagiza watendaji wa kata na vijiji kuwakamata watu wasiokuwa na choo katika kaya na kuzitoza kiasi cha 50,000/- na fedha hiyo ikatumike kujenga choo katika shule ya msingi katika eneo husika.

Ziarani ukara amehimiza wananchi kujitoa na kuwa chachu ya maendeleo na katika kisiwa hiko kijiji cha Bukiko kimefanya vizuri katika kutekeleza agizo lake la kujenga madarasa mawili kwani wao wamejenga sekondari mawili, na maabara. Amewataka vijiji vingine kama Kome kuongeza kasi ilikupunguza changamoto ya uhaba wa madarasa inayoikabili shule za msingi wilayani Ukerewe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.