• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NA DED UKEREWE WAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI UKARA

Posted on: November 27th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai, Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo ndugu Vincent Augustino Mbua wakiambatana na wataalam wamefanya ziara katika kisiwa cha Ukara lengo kuu likiwa kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero za wananchi wa eneo hilo .

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa mradi wa upanuzi wa zahanati ya Nyamanga iliyopo kata ya Nyamanga inayotarajiwa kupanda hadhi na kuwa kituo cha afya baada ya ukamilifu wa mradi Cde.Ngubiagai amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji kukamilisha mradi huo kwa wakati ili wananchi waanze kupata huduma bora za afya .

Akitoa taarifa ya mradi huo Mganga mfawidhi wa zahanati hiyo Paul Christopher amesema mnamo Septemba 1, 2024 walipokea milioni 527.7 kutoka serikali kuu kwa ajili ya upanuzi wa kituo hicho ikiwa ni sehemu ya kutekeleza mpango wa uwekezaji katika Afya ya mama na mtoto nchini.

Mradi unahusisha ujenzi wa chumba cha upasuaji,wodi ya wazazi,"walk way",maabara, sehemu ya kufulia nguo,uwekaji maji na umeme sambamba na mfumo wa maji taka huku akibainisha kuwa ujenzi upo hatua za ukamilishaji na 80% ya fedha imeshatumika.

"Mhe.Rais anatoa fedha kwa wakati,sisi tunashindwa kutekeleza kwa wakati naomba mradi ukamilike Disemba 2025." Amesema Mhe. Ngubiagai 

Nae Mkurugenzi Mbua amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuruhusu fedha hizo kufika Nyamanga na kumhakikishia Mkuu wa Wilaya hiyo kukamilisha mradi huo kwa ufanisi na haraka ndani ya muda aliogiza  kwa kukabiliana na changamoto za kijografia na upatikanaji wa shida wa wazabuni kutekeleza mradi.

Mbali ya ukaguzi wa mradi viongozi hao walipata fursa ya kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia majibu huku suala la Kamchape(tiba ya ki imani za jadi inayosadikika kutibu watu kimiujiza) likizua mjadala mkubwa kwa wananchi hao ambapo Cde.Ngubiagai ametoa agizo kwa Kamchape kujitokeza kujisajiri na kutambulika rasmi kwa serikali ili kuondoa manung'uniko ya wananchi kutapeliwa fedha katika mchakato wa kupata huduma hiyo.


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.