• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NGUBIAGAI AAHIDI USHIRIKIANO NA VYOMBO VYA HABARI

Posted on: September 4th, 2025

".. vyombo vya habari kwa hakika ni mhimili wa maendeleo, kupitia ninyi wananchi wanapata taarifa sahihi, serikali inasikia sauti za wananchi, changamoto za jamii zinazoibuliwa na kupatiwa ufumbuzi kwa wakati.Flamingo FM sio tu chombo cha habari bali ni mshirika muhimu wa maendeleo ya Ukerewe.."

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde, Christopher Ngubiagai wakati alipokuwa akizungumza na wadau wa habari katika hafla ya " Flamingo FM get together" iliyoandaliwa na kituo cha redio ya kijamii FLAMINGO FM iliyopo ndani ya wilaya hiyo.

Amewataka wanahabari kuwa daraja la kujenga uelewa juu ya sera na sheria mbalimbali zinazo tolewa na serikali kwenda kwa wananchi huku akiwahakikishia utayari wa serikali kushirikiana nao katika utekelezaji wa majukumu yao.

Nae msimamizi wa kituo hicho cha redio ya Flamingo Ukerewe Ndugu Ayubu Mbasha amewakaribisha wananchi wote wa Ukerewe kutumia huduma mbalimbali zinazotolewa na kituo hicho.

Mhandisi Deusdedith Shinzeh ni Mkuu wa chuo cha ufundi stadi VETA Ukerewe yeye amepongeza juhudi zinazofanywa na kituo hicho cha redio za kuhabarisha umma na kutangaza fursa za uwepo wa nafasi za masomo chuoni kwake huku akisisitiza wazawa kujitokeza kwa wingi kupata ujuzi.

Aidha, Cde.Ngubiagai amewataka wanahabari kuwa wawazi na wawajibikaji katika kuhamasisha amani,maendeleo,kukuza uzalendo, kutangaza mafanikio ya serikali na kuimarisha ushirikiano kati ya wananchi na serikali.

















Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI AAHIDI USHIRIKIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    September 04, 2025
  • MKURUGENZI MBUA ASISITIZA UKUSANYAJI MAPATO IDARA YA AFYA

    September 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA VYEMA MBIO ZAKE UKEREWE

    August 25, 2025
  • MRADI WA HOTELI KUWEKA HESHIMA UKEREWE

    August 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.