• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NGUBIAGAI AHIMIZA JAMII KUBORESHA ELIMU NA KUZUIA UTORO SHULENI

Posted on: December 13th, 2025

"... elimu ndiyo maendeleo ya jamii ni jukumu la kila mmoja wetu kuhakikisha watoto wanapata elimu bora katika mazingira rafiki,tuwapatie chakula hata mlo mmoja wakiwa shuleni tushirikiane kwa pamoja kutimiza ndoto za watoto wetu na kukataa utoro ili kuongeza ufaulu na kujenga kizazi imara..." 

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata ya Kakukuru katika kijiji cha Namakwekwe-Mibungo mkutano uliolenga kusikiliza na kutatua kero juu masuala mbalimbali ya jamii uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Namakwekwe.

Cde.Ngubiagai amewahimiza wananchi hao kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali na kutumia fursa zilizopo kwa maendeleo ya familia na jamii huku akisisitiza umuhimu wa kutunza mazingira kwa kuhakikisha maeneo ya makazi yanakuwa safi, salama na rafiki kwa afya ili kujenga maendeleo endelevu .

Akieleza changamoto zinazowakabili Mwenyekiti wa kijiji hicho ndugu Christopher Bwanaku amebainisha upungufu mkubwa wa watumishi wa umma, kutokuwepo kwa bwalo la chakula shule ya sekondari Mibungo, mikopo kwa wazee, upungufu wa nyumba za walimu na watumishi wa afya na kumuomba kiongozi huyo alishughulikie suala hilo.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ukerewe ambaye pia ni Mganga mkuu wa Wilaya hiyo Dkt. Charles Mkombe amesema serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuajiri watumishi wapya kulingana na upatikanaji sambamba na mahitaji, huku akikiri kuwepo kwa mipango ya kuboresha miundombinu ya shule kama ujenzi na ukarabati wa mabwalo ya chakula kwa kushirikiana na wananchi na wadau wa maendeleo.

Akijibu hoja ya mikopo kwa wazee Kaimu afisa maendeleo ya jamii wilaya ya Ukerewe Bi. Consolatha Komanya amesema ipo mikopo ya 7% kwa ajili ya wazee, mikopo ya 10% kwa wanawake,vijana na watu wenye ulemavu na kuwasihi walengwa wa mikopo hiyo kufuata taratibu ili waweze kunufaika .

Joyce Chibuga ni mkazi wa kijiji cha Namakwekwe ameeleza kuridhishwa kwake na jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali kushughulikia changamoto za kiuchumi na kijamii huku akisem


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.