• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NGUBIAGAI ASISITIZA UPENDO NA USHIRIKIANO KWA WAVUVI UKEREWE

Posted on: June 16th, 2025

"Serikali ya awamu ya sita inayo nia njema kabisa katika kuhakikisha kuwa wananchi wote wananufaika na rasilimali zilizopo katika maeneo yao ,kazi yenu ni moja kuimarisha upendo na ushirikiano baina yenu."

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde. Christopher E. Ngubiagai alipokuwa akizungumza na vikundi ,vyama vya ushirika na watu binafsi katika kijiji cha Musozi kata ya Bukindo wanaojihusisha na ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba na usafirishaji kwa njia ya boti za kisasa vilivyotokana na mikopo ya Rais Samia.

Amewataka wavuvi hao kufanya kazi kwa umoja,amani na mshikamano ili kufikia malengo waliyojiwekea kwa wakati hali itakayorudisha shukrani ya aina yake kwa Rais Samia aliyeruhusu fedha hizo ziwafikie.

Takriban shilingi Bilioni 1.1 imetolewa kwa wavuvi wa Ukerewe jumla ya vikundi, vyama vya ushirika na watu binafsi 11 ikiwa ni miradi  yenye lengo la kuimarisha hali ya kiuchumi kwa wananchi wa Ukerewe.

Silvester Lucas ni miongoni mwa wanaushirika amekiri kuwa wako tayari kutumika kama chachu ndani ya jamii za wavuvi katika kuibua miradi ya uvuvi itakayozalisha ajira kwa wananchi wengi zaidi.

Nae Mwenyekiti wa Musozi Mariculture Dr. Richard Mtesigwa ameongeza kuwa yeye na wanaushirika wenzie wote wanajivunia kuwa wazawa wa Ukerewe kwani ni fursa kubwa mno kuishi eneo lililozungukwa na maji.

" Ziwa letu shamba letu "

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • " UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

    June 28, 2025
  • MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

    June 27, 2025
  • BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

    June 25, 2025
  • " TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

    June 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.