• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NGUBIAGAI AWAASA MAAFISA USAFIRISHAJI KULINDA AMANI

Posted on: October 27th, 2025

Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Cde Christopher Ngubiagai amewaasa maafisa usafirishaji(bodaboda) kuilinda amani ya Ukerewe wakati alipohudhuria hafla ya kuunda umoja wa maafisa hao iliyofanyika katika ukumbi wa Albino uliopo kata ya Bukongo.

" Bila amani hakuna biashara, hakuna usafiri salama, kila mmoja wetu ni askari wa amani bila sare tukilinda amani tunalinda riziki zetu tunalinda usalama wetu naomba tujiepushe na migogoro na uchochezi wa aina yoyote wenye lengo la kutuvuruga..." Cde Ngubiagai.

Aidha amewataka maafisa hao kuwa na nidhamu ya fedha, heshima kwa abiria, kuwa na ushirikiano kudumisha usalama barabarani na kujiendeleza kiuchumi ili kunufaika na kazi yao.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ukerewe Vincent Augustino Mbua amewapongeza maafisa hao kwa muungano huo wenye jumla ya wanachama 90 huku akiwasihi kuwahamasisha wengine kujiunga katika umoja huo na kuweza kujiboresha zaidi.

" Mfanye hii kazi kwa malengo ,natamani kuona mkikua kiuchumi zaidi ya hapa.Tengenezeni vikundi mje na mawazo mazuri ya kuongeza kipato chenu.Sasa kuna uvuvi wa kisasa wa kutumia vizimba njooni mpate mikopo ya asilimia 10 ."

Nae mratibu uwezeshaji wananchi kiuchumi wilaya ya Ukerewe Makungu Makungu amewashauri maafisa hao kulinda maadili ya kazi yao na kutumia fursa za mikopo ya Halmashauri.

Akihitimisha hafla hiyo mwenyekiti wa umoja wa bodaboda wilaya ya ukerewe ndugu Lazaro Kabunga amewataka maafisa hao kuulinda umoja huo huku akikiri kushirikiana nao kwa changamoto zitazojitokeza.


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.