• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

DC NGUBIAGAI AWAASA WAZAZI KUZINGATIA CHANJO KWA WATOTO

Posted on: December 24th, 2025

"... Kwa maelezo ya wataalam wa afya matone ya Vitamin A yanaimarisha kinga ya mwili na uoni kwa watoto, dawa za minyoo zinaongeza hamu ya kula na kutibu minyoo kwa watoto niwasihi wazazi kuwaleta watoto wenu wapate chanjo hizi ili kuwalinda wasishambuliwe na magonjwa ..." DC Ngubiagai.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai alipokuwa akizindua Kampeni ya utoaji wa matone ya Vitamin "A" dawa za minyoo na upimaji wa hali ya lishe kwa watoto chini ya miaka mitano katika Kituo cha afya Nakatunguru kilichopo kata ya Nakatunguru wilayani Ukerewe .

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Dkt. Charles Mkombe amewapongeza wazazi waliojitokeza kwa kujali afya za watoto wao huku akiwasisitiza kuwa mabalozi kwa wazazi wengine kuwaleta watoto kupata chanjo hizo.

Akisoma taarifa ya mwenendo wa zoezi la utoaji wa huduma katika mwezi wa afya na lishe ya mtoto Afisa lishe wilaya ya Ukerewe Ditram Kutemile amesema jumla ya vidonge 54,999 vya dawa za minyoo, vidonge 66,669 vya Vitamin A na tepe 350 za kupimia hali ya lishe kwa watoto vimetolewa kwa vituo 44 vya kutolea huduma za afya vilivyopo wilayani humo.

Nae Mganga Mfawidhi wa Kituo cha afya Nakatunguru Dkt. Sospeter Kanyagweta amethibitisha kuwepo kwa mwitikio mzuri kwa wazazi kuleta watoto tangu zoezi hilo lilipoanza Desemba mosi hadi hivi sasa.

Shida Msela ni mkazi wa kijiji cha Kakerege yeye anapongeza utolewaji wa huduma hizo kama chachu ya kuboresha ustawi wa afya za watoto na kujenga kizazi imara cha baadae kwa jamii ya Ukerewe.


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.