• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA UKEREWE YAPATA MKURUGENZI MWANAMKE WA KWANZA TANGU KUANZISHWA KWAKE 1984

Posted on: August 20th, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli tarehe 13 Agosti 2018 amefanya uteuzi wa wakurugenzi watendaji ambapo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Bi. Esther Anania Chaula aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri. Uteuzi huu ni wa kwanza na wakipekee kwani ndiye atakuwa Mkurugenzi Mtendaji mwanamke wa kwanza kuongoza Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe tangu mwaka 1984.

Esther A. Chaula Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe amewasili na kukabidhiwa ofisi na Mkurugenzi mtendaji aliyemaliza muda wake Frank Bahati na akizungumza na wakuu wa idara na vitengo Chaula ameomba ushirikiano kwa watumishi wote katika utekelezaji wa majukumu, na kushauriana kwa usahihi kwa lengo moja la kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi na kuwahudumia wananchi wa Ukerewe kiujumla.

Frank S. Bahati  ni Mkurugenzi wa 12 ambaye amemaliza muda wake amebainishakuwa mkurugenzi mpya ni mwanamke wa kwanza kuwahi kuwepo katika halmashauri hiyo. Amesema hayo alipokua akifanya makabidhiano ya ofisi baina yake na Mkurugenzi mpya Bi. Esther A. Chaula ambaye amewasili kujakuripoti na tayari kuanza majukumu yake.

Frank S. Bahati amemkaribisha na kumtakia kila la kheri Esther A. Chaula anapokua akianza majukumu yake kama mkurugenzi mtendaji na amemtaka kuwatumia vizuri wataalamu waliopo katika ofisi yake ili kumsaidia kufikia malengo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Bahati ametumia fursa hiyo pia kuwaaga na kuwashukuru watumishi wote wa umma kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi chote cha uongozi ndani ya wilaya Ameyasema hayo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa halmashauri. Bahati amesisitiza umoja na ushirikiano wakuu wa idara na vitengo walio mpatia wampe pia na mkurugenzi mpya.


Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.