• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

JAMII TUNAWAJIBIKA KULINDA AMANI YETU - DC NGUBIAGAI

Posted on: September 19th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde, Christopher Ngubiagai amewaasa wananchi wa Wilaya ya Ukerewe kulinda amani,kuhamasisha mshikamano wa kijamii na kushiriki kwa amani uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano uliohusisha makundi maalum ya wazee maarufu,vijana, wanawake, viongozi wa dini,mashirika ya kiraia ,wajasiriamali,wavuvi na watumishi katika Wilaya ya Ukerewe uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya hiyo .

".. amani ni msingi wa maendeleo, bila amani hakuna uchumi, biashara au huduma bora na mshikamano hujenga nguvu ya jamii hakuna kundi dogo wala kubwa zaidi sote ni Watanzania hivyo tushirikiane kwa pamoja kujenga amani ya taifa letu kwa kushiriki kwa amani Uchaguzi mkuu wa dola.." Cde, Ngubiagai

Aidha, amewasihi wananchi kuheshimu serikali iliyopewa ridhaa ya kuongoza na kutaka kila kundi kushiriki  kwa  nafasi yake ili kujenga mshikamano na amani ya taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake mwenyekiti wa BAKWATA  mkoa wa Mwanza Sheikh Twaha Bakari Hutari amewakumbusha viongozi wa dini kuamrisha amani na kukataza maovu huku akiwaomba viongozi wenzake kuhamasisha waumini kujitokeza kupiga kura kama sehemu ya haki yao kikatiba.

Mkurugenzi wa Shirika la msaada wa Kisheria (ULAO) Masolele Makole ameiomba kamati ya amani wilayani humo kuona namna ya kuimarisha amani na uzalendo kwa kuanzisha kambi za vijana zitakazofundisha maadili na kuisihi jamii kuwalea watoto katika mazingira ya hofu ya Mungu kuanzia ngazi ya familia kama msingi wa amani na maadili mema.

Mwakilishi wa kundi la vijana Kulwa Omari amewaomba wazazi kuwaelekeza watoto wao maana halisi ya amani na kutokuruhusu watoto wajilee maana kunasababisha mmomonyoko wa maadili na uvunjifu wa amani.

Akihitimisha mkutano huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Ndugu Vincent Mbua ametoa shukrani kwa Wajumbe wa mkutano huo na kuwaomba wawe mabalozi wa amani na mshikamano kwa jamii.

















Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI AKABIDHIWA MELI YA MV BUTIAMA KUANZA KAZI RASMI

    September 20, 2025
  • JAMII TUNAWAJIBIKA KULINDA AMANI YETU - DC NGUBIAGAI

    September 19, 2025
  • WAJAWAZITO WASHAURIWA KUANZA KLINIKI MAPEMA

    September 18, 2025
  • MAFUNZO YA KANUNI NA MIONGOZO UENDESHAJI ZOEZI LA UTOAJI MIKOPO YA 10% YAZINDULIWA RASMI

    September 12, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.