• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

JAMII UKEREWE YAASWA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

Posted on: September 25th, 2025

"..Watoto wanaopata chakula shuleni mara nyingi huwa na umakini mkubwa darasani lakini pia husababisha mtoto kupenda shule na kuondoa adha ya utoro na kuimarisha ukuaji mzuri wa kiakili na kihisia.."

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde, Christopher Ngubiagai akizungumza na wataalam wa kada mbalimbali wanaohusika na masuala ya lishe wakati wa kikao cha tathimini ya utekelezaji wa afua za lishe kwa kipindi cha Julai 1 ,2024 hadi Juni 30,2025.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa afua za lishe kwa mwaka mmoja Afisa lishe wa Wilaya ya Ukerewe Ditram Kutemile amesema jumla ya Kaya 6500 zilitembelewa na wahudumu wa afya ngazi ya jamii na kutoa unasihi wa masuala ya lishe kati ya kaya 6500 zenye watoto wa umri wa miezi 0 - 23 katika vijiji 76 sawa na asilimia 100 ya lengo.

Ditram ameainisha changamoto ambazo bado zinarudisha nyuma masuala ya upatikanaji wa chakula shuleni ikiwa ni pamoja na mwitikio hafifu wa wananchi kuchangia chakula kwa wanafunzi ambapo Halmashauri ina jumla ya shule 172 na ni shule 145 zinazotoa chakula sawa na 84.3% ya shule zinazotoa chakula huku baadhi ya shule zinazotoa chakula si wanafunzi wote wanapata chakula hicho.

Imani potofu imetajwa miongoni mwa changamoto hali inayopelekea watoto wenye utapiamlo kucheleweshwa kupeleka kwenye vituo vya kutolea huduma za afya ili kupata matibabu stahiki.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ndugu Vincent Augustino Mbua amesema masuala ya lishe ni kipaumbele katika Halmashauri yake hivyo atahakikisha fedha yote inayohitajika kufanikisha utekelezaji wa shughuli za lishe inatolewa kwa wakati huku akisisitiza ajenda ya lishe kuwa ya kudumu katika vikao na mikutano ya serikali za vijiji .

"Kila mmoja akitimiza wajibu wake tutapiga hatua kubwa, suala la kuendelea kuelimisha jamii halipingiki ipo siku jamii itaelewa na kubadilika na suala la utoaji chakula shuleni kuwa jambo la kawaida." amesema Ngubiagai

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • JAMII YAPEWA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

    September 29, 2025
  • ULINZI WA TAIFA LETU NI JUKUMU LA KILA MTANZANIA

    September 26, 2025
  • JAMII UKEREWE YAASWA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    September 25, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUIMARISHA AMANI NA MSHIKAMANO

    September 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.