• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

JUMUIYA ZA WATUMIA MAJI UKEREWE ZAPIGWA MSASA.

Posted on: February 9th, 2021

Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na Wilaya ya Ukerewe wameendesha mafunzo kwa Jumuiya mbili za watumiaji maji lengo likiwa kuwajengea uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya msingi katika utoaji na usimamizi wa huduma ya maji. Jumuiya zilizopatiwa Mafunzo ni Jumuiya za watumiaji maji Mradi wa Maji Bukindo-Kagunguli na Mradi wa Maji Kazilankanda. 


Akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Cornel Magembe amewapongeza RUWASA kwa kuona umuhimu wa kuendesha mafunzo hayo kwa kamati hizo. 


Magembe amewata Meneja wa RUWASA Mkoa wa Mwanza kuendelea kuangalia kwa Ukaribu Wilaya ya Ukerewe kwani mpaka sasa kuna vijiji ambavyo bado vinahitaji huduma ya maji japo kuwa vipo karibu na vyanzo vya maji. 



Aidha amepongeza jitihada zinazoendelea kufanywa na Mhandisi wa Maji wa Ukerewe kwani pamekuwepo na ongezeko la vijiji vinavyopata maji. Amewataka wanamafunzo kuweka umakini kwa siku zote tatu za mafunzo.


Awali akitoa neno la Utangulizi Meneja wa RUWASA Mkoa wa Mwanza Mhandisi Emmaculatha Raphael ameeleza kuwa mpaka sasa ni vijiji 19 vinapata maji na vijiji 6 vinatarajiwa pia kupata huduma hiyo na Wizara inatarajia kutekeleza Mradi wa Maji wa maeneo yanayozunguka ziwa Victoria na Ukerewe ni vijiji 33 vimewekwa katika mpango wa kupata huduma hiyo. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.