• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

KAMATI YA FEDHA YAAGIZA MIRADI KUKAMILIKA KWA WAKATI

Posted on: February 2nd, 2021

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango inayoongozwa na Mhe. Joshua Manumbu imefanya uhakiki wa miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa katika kata za Nkilizya, Kagera, Nakatunguru, Bukanda, Igalla, Kagunguli, Kakukuru, Ilangala na Muriti. 


Katika mradi wa Ujenzi wa Vyumba vya madarasa Shule ya Sekondari Nkilizya walipatiwa Milioni 24, Sekondari ya Buzegwe ilipatiwa Milioni 24 na Sekondari ya Ilangala walipatiwa Milioni 22,156, 569 fedha zote zikiwa ni kutoka mapato ya ndani. 


Miradi yote ya ujenzi wa Shule za Sekondari hizo upo katika hatua ya ukamilishaji ambapo kamati imeendelea kuwasihi watendaji kuendelea kuhimiza wananchi kuendelea kuchangia ili kuimarisha miundombinu hiyo inayotarajiwa kuanza kutumika baada ya kukamilika. 

Aidha wajumbe wamepongeza utekelezaji wa miradi hiyo kwani inaenda kuleta tija na kuwaondolea wanafunzi kutembea umbali mrefu kufuata shule.


Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango inayoongozwa na Mhe. Joshua Manumbu imepongeza Shule ya Msingi Hamuyebe na Chankamba kwa kutekeleza vema miradi ya P4R. 

Wajumbe wamerishishwa na kupongeza Wasimamizi na kamati za ujenzi katika maeneo hayo baada ya kamati ya Fedha, Utawala na Mipango kutembelea na kukagua miradi hiyo na kubaini kuwa thamani ya fedha imeonekana.


Shule ya Msingi Hamuyebe ilipokea kiasi cha Tsh 47,700,000 kujenga vyumba viwili na choo cha wanafunzi matundu saba na Shule ya Msingi Chankamba ilipokea kiasi cha Tsh 45,500,000 kujenga vyumba viwili vya madarasa na vyoo vya wanafunzi matundu matano ambapo mpaka sasa miradi yote ipo katika hatua za mwisho za ukamilishaji.


Katika hatua nyingine Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kupitia Mapato ya Ndani imetekeleza miradi ya ujenzi na ukarabati wa vyoo katika soko la Monachi na Kakukuru lengo likiwa ni kuhakikisha wafanyabiashara wanapata mazingira mazuri ya kufanyia biashara.


Mradi wa Ujenzi wa choo matundu mawili na bafu soko la Monachi Kiasi cha Tsh 5,996,500. Kimetumika na Ukarabati wa Choo soko la Kakukuru umegharimu Tsh 779,000 na mpaka sasa mradi umekamilika. 

Wajumbe wa kamati ya Fedha, Utawala na Mipango wamepongeza miradi hiyo kwani imelenga kuhudumia wafanyabiasha na kutunza mazingira ya kufanyia kazi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.