• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

KAMATI YA FEDHA YATAKA MIRADI YA MAENDELEO IKAMILISHWE KWA WAKATI.

Posted on: May 13th, 2020

Kamati ya Utawala fedha na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe inayoongozwa na Mwenyekiti Mhe. George M. Nyamaha pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo imetembelea Bandari ya Bukimwi kata ya Ngoma na kuona shughuli ya usafiri inayofanywa na Kivuko cha Mv. Ilemela inayofanya safari yake kati ya Kayenze-Bezi-Ukerewe.

Kamati imepongeza hatua ya Serikali kuanzisha safari hizo kwani wengi watanufaika.

Kamati ya Utawala fedha na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe inayoongozwa na Mwenyekiti Mhe. George M. Nyamaha pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo imefanya ikaguzi wa Miradi ambapo imetembelea utekelezaji huo katika Uezekaji wa jengo la utawala shule ya sekondari Mumbuga unaogharimu 4,000,000/-, Uezekaji wa jengo la Nyumba ya mwalimu Shule ya msingi Nantare Tsh 25,000,000/-, madarasa Vyumba 3 shule ya msingi Murusuli Tsh 9,100,000/-, kuezeka zahanati Musozi Tsh 10,000,000/-, ukamilishaji wa chumba cha darasa la awali Na Choo cha wanafunzi shule ya msingi Musozi Tsh 15,000,000/- Fedha zilizotolewa Na TAHEA, kuwezesha ukamilishaji wa Nyumba ya mwalimu shule ya msingi Kagunguli 2,840,000/-. Miradi yote ikokatika hatua ya ukamilishaji ambapo Kamati imeelekeza miradi hiyo kukamilika kwa wakati.

Aidha Kamati ya Utawala, Fedha Na Mipango imetembelea kukagua Ujenzi wa Chuo cha VETA kilichopo kijiji cha Muhula Mradi unagharimu takribani bilioni moja Na mpaka sasa Ujenzi umeanza Na upo katika hatua ya kujenga Msingi. Kamati imeishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa kujenga chuo hiko Na kuahidi kwa changamoto yoyote watakayokutana nayo wajulishwe Na waweze kutatua ili Mradi ukamilike kwa wakati ili watu waanza kunufaika.

Siku ya pili Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango pamoja na wakuu wa Idara na vitengo wameendelea na ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo wakiongozwa na Mhe.Gabriel gregory Kalala Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na kutembelea miradi ambayo ni Uezekaji wa vyumba viwili vya madarasa Shule ya Msingi Mandela Tsh 5,000,000/- kutoka mfuko wa jimbo, Uezekaji jengo la maabara shule ya Sekondari Mukituntu Tsh 2,000,000/- fedha zilizotolewa na nfuko wa jimbo.

Ukamilishaji wa chumba cha darasa la awali na choo Shule ya Msingi Nsenga Tsh 15,000,000/- zilizotolewa na TAHEA. Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Kitanga serikali kuu ilitoa Tsh 25,000,000/-, Ukamilishaji darasa la awali na choo shule ya msingi Isisi Tsh 15,000,000/- kutoka TAHEA, Uezekaji maabara Sekondari ya Busangumugu Tsh 3,000,000/- kutoka Mfuko wa Jimbo.

Kamati imeridhishwa na miradi hiyo na kuwataka watendaji na wakuu wa shule kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati kwani mpaka sasa ipo katika hatua ya uezekaji na ukamilishaji.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.