• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Kamati ya Siasa ya Wilaya yapongeza utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo

Posted on: May 15th, 2018

Kamati ya siasa ya Wilaya ya Chama Cha Mapinduzi inayongozwana Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ukerewe Ally Mambile na wajumbe wake, Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Estomin F. Chang’ah, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Frank Bahati na wakuu wa idara na vitengo wote wametembelea miradi mbali mbali inayotekelezwa wilayani Ukerewe.

Miradi wa Maji Chabilungo unaoendelea kutekelezwa kwa Fedha za Serikali ambapo mpaka sasa unatarajiwa kuwahudumia wananchi wengi, kamati ya siasa imeshauri wataalamu waendelee kutoa elimu na hamasa wananchi kutumia maji hayo kwani na safi na salama. Kaimu Mhandisi wa Maji Wilaya Datus Buchard ameleza kamati kuwa jitihada za kuhamasisha watu kuunganishwa ilikupata maji kwenye ngazi ya kaya zinaendelea.

Mradi wa Daraja lililokuwa limekatika na kujengwa kingo zake upya ni moja ya miradi ambayo kamati ya siasa ya wilaya imetembelea na kupongeza kwani daraja hilo ni moja ya kiunganishi cha maendeleo katika maeneo hayo. Ujenzi wa dara hilo ni kiasi cha shilingi milioni 30 na mpaka sasa ujenzi umekamilika na daraja linafanya kazi. Mwenyekiti wa CCM Ally Mambile na Mkuu wa Wilaya Estomin Chang’ah wamewataka wananchi wa eneo hilo kuzingatia kanuni a kutokulima katika vyanzo vya mito.

Kamati ya siasa ya wilaya imetembelea pia mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Bwisya fedha zilizotolewa na serikali milioni 400. Ujenzi wa kituo cha afya unamajengo sita ambayo ni nyumba ya mtumishi, jingo la maabara, jengo la wazazi, jengo la upasuaji, jengo la kuhifadhia maiti, na kichomea taka. Majengo haya yapo kwenye hatua mbali mbali kama kupauwa, kuweka mfumo wa maji na umeme. Kwa niaba ya Mhandisi Wilaya Robert Magayane ameeleza kuhusu mradi huo na amebainisha baadhi ya changamoto zikiwemo jiografia ya eneo pamoja na usafirishaji wa vifaa.

Mambile amepongeza hatua zilipofikia katika ujenzi huo na amewataka wataalamu kuendelea hivyo katika hatua za ukamilishaji ili mradi huo uwe wa mfano katika Mkoa wa Mwanza. Nae Frank Bahati ameiambia kamati kwa kushirikiana na wataalamu atahakikisha kituo hiko cha afya kinakamilika na kuanza kuwahudumia wananchi.


Mradi wa Maabara ya fizikia katika shule ya sekondari Pius Msekwa inayondelea kujengwa ambapo mpaka sasa imetumia milioni 18 na bado inaendelea kijengwa na ilikukamilika inahitajika kiasi cha shilingi milioni 18 ilikuanza kutumika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.