• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

KAMATI YA UCHUMI YAKAGUA MIRADI

Posted on: April 27th, 2021

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Mazingira Mhe. Felician Manyonyi Diwani wa kata ya Bukongo ameongoza kamati hiyo kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ihusuyo uchumi. Viongozi wengine walioshiriki katika uhakiki wa miradi hiyo ni pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Joshua Manumbu, makamu Mwenyekiti Mhe. Athanas Kiza Marobo pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Ester A. Chaula. 

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Mradi wa Marekebisho ya Stendi Choo, na Mitaro, eneo la maegesho ya magari na jengo la mlinzi thamani ya Tsh. Milioni 16wajumbe Wameshauri ukamilishaji wa mradi na marekebisho yote yafanyike haraka.

Kikundi cha Vijana kumi walipatiwa mkopo wa Tsh 10 M na walinunua pikipiki 4. Kamati imewashauri kuwa na ofisi za kikundi chao nae Mkurugenzi Mtendaji Bi. Ester A. Chaula  amewahimiza kurejesha kwa wakati na wakilipa kwa muda itawapa nafasi ya kuomba mkopo mkubwa zaidi ili wainue na wengine.

Kikundi cha walemavu Sokokuu walipatiwa Tsh. 3M, Kikundi cha wanawake sungura walipewa 5M wanachama 39 wametakiwa kurejesha kwa wakati na itawasaidia kupewa mkopo zaidi pia kupitia marejesho hayo yatawezesha wengine kupata mkopo.

Vizimba vya kupimia samaki vimejengwa kwa Tsh. 2,3M katika mialo lengo likiwa kupima mazao ya samaki na kuongeza mapato ya Halmashauri ushauri marekebisho madogo ya ukamilishaji yafanyike.

Shamba la machungwa la Bw. Ladslaus Mlagala amepanda miche 534 aliyopewa na Halmashauri pamoja na shirika la MVIWAU kwenye eneo la takribani Heka 9 miti alioanza kupanda 2019 mpaka sasa. 

Bugorola Green house (shamba darasa) Mradi wa Tsh 16M umejengwa mwaka 2019 kama Shamba la mfano lina vijana 100.


Mradi wa Chama cha Ushirika BUKASIGA waliopo Kata ya Kakukuru Walipewa mkopo na Benki ya Kilimo Tsh 200M ili kutekeleza Mradi wa kutengeneza barafu kwa ajili ya wafanya biashara wa samaki. Uzalishaji wa barafu kwa saa 24 wanapata Tani 5 

Kamati imewapongeza kwa kuendesha mtambo wenye tija, Aidha wameshauriwa kuomba mkopo kama kikundi kwa kufuata taratibu. Hatutegemei Mradi unakufa Bali uendelee na kusambaa maeneo mengine ya ukerewe 








Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.