• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

KAYA 125,250 KUNUFAIKA NA UPULIZIAJI WA DAWA YA UKOKO MAJUMBANI

Posted on: November 22nd, 2021

Halmashauri ya Wilaya Ukerewe Mkoani Mwanza leo imezindua zoezi la Unyunyiziaji dawa ya Ukoko majumbani, uzinduzi umefanyika katika kata ya Namagondo kijiji cha Namagondo na Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Kanali Denis Filangali Mwila akiwa na kamati ya Ulinzi ya Wilaya kwa kushirikiana na shirika la Abt Associates kwa ufadhili wa shirika la Kimataifa la misaada kutoka Marekani.

Kanali Mwila ametoa wito kwa wananchi wote wa Wilaya ya Ukerewe kutoa ushirikiano kwa wanyunyiziaji wanapofika katika Kaya kupuliza dawa hiyo kwani lengo ni kuhakikisha malaria katika Wilaya ya Ukerewe inapungua zaidi kwani kwa takwimu mpaka mwezi Oktoba 2021 Ukerewe tumefanikiwa kupunguza kiwango cha maambikizi ya malaria kufikia 31.2% lengo la taifa ni kupunguza kiwango cha maambukizi ya malaria kifikia 3.5 ifikapo mwaka 2025 ambapo hali ya uambukizo itapungua kwa 74%.

Dk. Getera Nyangi Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ameeleza kuwa ipo mikakati ambayo imekua ikitekelezwa katika kupambana na ugonjwa wa malaria ni pamoja na kutoa elimu ya afya juu ya madhara ya ugonjwa wa malaria, kuhimiza na kusimamia shughuli za usafi wa mazingira kila mwisho wa mwezi, zoezi la unyunyiziaji dawa ya kibiolojia (larviciding) ili kuharibu mazalia ya mbu waenezao malaria na upuliziaji wa dawa ya ukoko majumbani. 

Bw. Joshua Mutagahywa Afisa Mazingira na Usalama ABT ameeleza kuwa zoezi hili ni awamu ya tatu kufanyika unyunyiziaji. Zoezi la mwaka limeanza tokea tarehe 18/11/2021 na kumalizika tarehe 18/12/2021 na Kaya zote wilayani zitapuliziwa na wapuliziaji 517 katika vituo au kambi 25 kwa Wilaya nzima.

Bi. Magdalena Joseph  Mkazi wa Namagondo amewatoa hofu wananchi wote wa ukerewe wenye mashaka na dawa hiyo na kupelekea kuzuia wapuliziaji kufanya kazi yako kuacha kwani dawa hiyo inamaliza mbu kabisa kwenye nyumba na haina madhara kama wanavyofikiria. 

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.