• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

KILELE MAFUNZO YA MGAMBO UKEREWE.

Posted on: November 2nd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Cornel B. Magembe amehitimisha mafunzo ya jeshi la akiba wilayani Ukerewe. Hafla ya kilele cha mafunzo ya jeshi la akiba wilayani ukerewe imefanyika leo katika viwanja vya ukuta mmoja na kuhudhuriwa na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, viongozi mbalimbali wa wilaya pamoja na wananchi waliojitokeza kushuhudia tukio hilo.

Sgt. Rumanyika Aloyce Rwechungura Ambaye ni Mshauri wa Mgambo Wilaya ya Ukerewe ameeleza kuwa idadi ya walioanza mafunzo walikuwa jumla ya watu 168 wanaume 138 na wanawake 30 na mpaka kufika siku ya kuhitimu mafunzo wamehitimu leo wakiwa 88, wanaume 70 na wanawake 18 wakiwa ndiyo washindi waliofaulu mafunzo ya jeshi la Akiba kutoka katika wilaya ya Ukerewe.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Cornel B. Magembe amewapongeza wahitimu wa mafunzo ya jeshi la Akiba kwa juhudi na nia ya uzalendo walio nayo, na Kuwatia moyo wahitimu wa jeshi la Akiba  kutokana na changamoto wanazokutana nazo wakati wa mafunzo ikiwemo jamii kuwacheka na kuwadharau, kukosa sare na kukosa ushirikiano mzuri wa wananchi watakao tumikiwa na jeshi hili.

Magembe amewataka na kuwashauri wananchi wa wilaya ya ukerewe kujiunga na kuona faida ya jeshi la Akiba, na Kuahidi kutoa ushirikiano kuwa wanapata mafunzo ya awamu ya pili baada ya kuhitimu kwa awamu ya kwanza.

 Aidha amewashauri wahitimu kuwa wanafaida kubwa ya kujiunga na jeshi la kujenga taifa hivyo wanahitajika kukizi vigezo kama vile cheti chenye ufaulu mzuri yaani kidato cha nne au cha sita, kuwa na cheti cha kuzaliwa.  Na Kuahidi kutekeleza ombi la kununua sare ya jeshi la Akiba pamoja na Kuhakikisha waajili wenye uhitaji wa askari wanaajili mtu au watu waliopitia na kufuzu jeshi la Akiba ili kuhakikisha usalama wa eneo husika.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • UKEREWE YAANZA RASMI UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST

    July 25, 2025
  • WATUMISHI IDARA YA AFYA WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI

    July 23, 2025
  • MKURUGENZI MBUA ASISITIZA MATUMIZI BORA YA MIFUMO YA SERIKALI

    July 22, 2025
  • WALIMU WAELEWESHWA DHANA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE

    July 22, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.