• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WATUMISHI IDARA YA AFYA WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI

Posted on: July 23rd, 2025

" Kazi ya afya ni zaidi ya ibada ,mnakumbana na changamoto nyingi za kiutumishi,za wateja mnaowahudumia lakini ni muhimu kubaki imara na kufanya kazi ndani ya maadili yenu."

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Ndugu Vincent Augustino Mbua wakati alipokuwa akizungumza na watumishi wa hospitali ya Wilaya hiyo kwa lengo la kujitambulisha kwao na kuwatia moyo katika majukumu yao kila kila siku.

Mkurugenzi Mbua amesema watumishi wa afya wamepewa dhamana kubwa na ya pekee kuwahudumia watu na kuongeza kuwa kazi hiyo ni wito na kukiri namna watumishi hao wanavyojitoa kuwahudumia wagonjwa wanaofika hospitalini hapo kupata huduma mbalimbali huku akiwataka kudumu katika maadili yao ikiwa ni pamoja na kutunza siri za wateja wao.

Kuhusu suala la ukusanyaji mapato ya hospitali Mkurugenzi huyo amemtaka Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe na wote waliopewa dhamana ya kusimamia mfumo wa GOT_HOMIS wafanye kazi ipasavyo kwa lengo la kuboresha huduma mbalimbali za kijamii na uendeshaji wa hospitali kwa ujumla.

Aidha amemtaka mfamasia wa Wilaya kuhakikisha anaweka uwiano sahihi wa msambazo wa dawa katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya ndani ya Halmashauri hiyo. ".. kikao cha leo kimetupa dira ya kuona uelekeo wetu, utaratibu mzuri sana wa kiongozi katika kazi anapotembelea watumishi wake na kuwatia moyo binafsi nampongeza sana.."Amesema Hamza Osuta mratibu wa miradi ya afya hospitali ya Wilaya ya Ukerewe.

Akihitimisha kikao hicho Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Ndugu Charles Mkombe amemshuru Mkurugenzi kwa kutenga muda na kuzungumza na watumishi wa hospitali hiyo huku akiahidi kutelekeza maelekezo yote aliyopewa kwa ubora huku akiweka wazi mpango wa Hospitali hiyo wa kuweka CCTV camera kwa baadhi ya maeneo ya kimkakati kwa ajili ya kuboresha ulinzi na usalama wa hospitali .

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.