• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MKURUGENZI MBUA ASISITIZA MATUMIZI BORA YA MIFUMO YA SERIKALI

Posted on: July 22nd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Ndugu Vincent Augustino Mbua amewasisitiza  watumishi wa umma kutumia mifumo elekezi ya serikali kwa ufanisi ili thamani na malengo ya uwepo wa mifumo hiyo ionekane.

Ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya siku 7 kuanzia ngazi ya Wilaya juu ya mfumo wa uthibiti ubora "School Quality Assurance System" (SQAS ) yaliyotolewa kwa wataalam waandamizi,walimu wakuu wa shule za msingi,sekondari, vyuo na maafisa elimu kata.

"..serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan imewekeza fedha nyingi sana katika utengenezwaji na matumizi ya mifumo mbalimbali kwa lengo la kurahisisha kazi na kuondoa usumbufu wa kuhangaika na makaratasi,kuondoa urasimu katika shughuli mbalimbali za serikali hivyo na sisi hatuna budi kuitumia ipasavyo.."

Ameongeza kuwa uwepo wa mfumo wa PEPMIS kwa ajili ya  watumishi kujaza majukumu na utekelezaji wake,mfumo wa manunuzi NeST,mfumo wa GOT_HOMIS kwenye vituo vya kutolea huduma za afya itumike ipasavyo na kukemea vikali wanaokwepa matumizi ya mifumo hiyo na kwamba usimamizi utaboreshwa ikiwa ni sehemu ya kukuza huduma bora ndani ya Ukerewe.

Nae Afisa TEHAMA wa Halmashauri hiyo, muwezeshaji mfumo wa SQAS Thobias Lupogo amewataka walimu na watumishi wote ambao ni watumiaji wa mifumo hiyo kuomba msaada mahali husika pale wanapokwama.

Mwl.Selemani Selemani ni Mkuu wa shule ya msingi Hamuyebe iliyopo kata ya Bukanda yeye anashukuru kwa mafunzo hayo huku akipongeza namna ambavyo mfumo wa SQAS unavyoonyesha uwajibikaji wa kila mtu hali itakayowawezesha walimu kujitathimini na kufanya marekebisho mwenendo wa kiutendaji haraka pale inapobidi.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.