• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WALIMU WAELEWESHWA DHANA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE

Posted on: July 22nd, 2025

"..Uthibiti ubora wa shule  ni mchakato wa kufanya tathimini katika nyanja mbalimbali ndani ya sekta ya elimu kwa kushirikisha wadau katika kuhakikisha elimu inatolewa kwa viwango vya ubora unaokubalika.."

Rai hiyo imetolewa na mthibiti ubora wa shule Wilaya ya Ukerewe Mwl.Misana Nyasani Maige wakati akizungumza na maafisa elimu kata,wathibiti ubora wa shule wa ndani na wakuu wa shule zote zilizopo ndani ya Wilaya ya Ukerewe wakati wa mafunzo elekezi ya mfumo mpya wa "School Quality Assurance" (SQAS) ambao masuala yote ya uthibiti ubora yatafanyika kidijitali.

Mwl.Misana amezitaja na kufafanua nyanja za Uthibiti ubora wa shule ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa mtaala ambao ndani yake wanaangalia ubora wa mtaala hali kadhalika nyanja nyingine ni ubora wa ufundishaji na ujifunzaji ambao ndani yake wanaangalia mahudhurio ya walimu na wanafunzi sambamba na namna wanafunzi wanavyojifunza masuala mtambuka kama elimu ya UKIMWI.

Aidha matumizi bora ya TEHAMA yametajwa kuwa miongoni mwa nyanja za uthibiti ubora wa shule pamoja na masuala ya maadili,utamaduni na uzalendo. Victor Mtagurwa ni miongoni mwa washiriki wa semina hiyo yeye ni Makamu Mkuu wa chuo cha ualimu Murutunguru kinachopatikana ndani ya kata ya Murutunguru amesema mfumo ni mzuri,utarahisisha kazi huku akipongeza mpango wa serikali kuanzisha mfumo huo kwani ni rafiki na salama kwa utunzaji wa kumbukumbu.

".. SQAS ni mfumo mzuri  taarifa yoyote ikihitajika kwa watumiaji inapatikana kwa urahisi na kwa wakati .."

Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe ina jumla ya shule 174 ambapo shule za msingi ni 140 na sekondari 34.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.