• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

KINA MAMA WAASWA KUNYONYESHA VIZURI

Posted on: August 5th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kupitia divisheni ya afya, ustawi wa jamii na lishe imeungana na Halmashauri nyingine nchini  kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama duniani kwa kutoa elimu ya afya inayohusisha mama na mtoto sambamba na huduma nyingine za uzazi na utoaji chanjo kwa watoto katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya ndani ya Wilaya ya Ukerewe.

Ditrum Kutumile ni Afisa lishe wa wilaya hiyo, amezungumza na baadhi ya kina mama waliojitokeza kupata huduma mbalimbali za afya kwa watoto wao katika kituo cha afya Nakatunguru kilichopo kata ya Nakatunguru ikiwa ni sehemu ya maadhimisho hayo.

"Kauli mbiu ya mwaka huu inasema thamini unyonyeshaji, weka mazingira wezeshi kwa mama na mtoto inaonyesha namna ambavyo dunia nzima inatambua umuhimu wa mama kuanzia suala zima la unyonyeshaji."

Ditrum amewaasa kina mama kunyonyesha watoto ili kuwajenga vizuri kiakili na kuachana na fikra potofu za kunyonyesha kwa muda mfupi ili kulinda matiti yasianguke.

Nae Mganga mfawidhi wa kituo hicho Dkt.Pascal Moshiro amezungumzia sera ya taifa ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa watoto wenye umri chini ya miaka miwili inayotoa katazo la watoto wenye umri chini ya miezi 6 kupewa vyakula mbadala,huku ikiweka wazi watoto kuanza kupewa vyakula vya nyongeza wanapotimiza umri wa miezi 6 na kuendelea.

Akitoa elimu ya namna bora ya kunyonyesha Afisa lishe wa hospitali ya Wilaya ya Ukerewe Bi.Julieth Peter ametoa faida za mama kunyonyesha mtoto ipasavyo ikiwa ni pamoja na mtoto kupata afya nzuri kwa sababu maziwa ya mama yana viinilishe vyote muhimu vinavyohitajika mwilini.

Faida nyingine ni kuleta upendo baina ya mama na mtoto,inapunguza hatari ya mama kupata saratani ya matiti,inatumika kama njia ya uzazi wa mpango endapo mama atanyonyesha ipasavyo na pia maziwa ya mama hayana gharama yapo tayari muda wote kinachohitajika ni usafi wa mwili wakati wote.

Jesca Masinde ni miongoni mwa kina mama waliopata elimu ya unyonyeshaji yeye ni mkazi wa mtaa wa Miti mirefu uliopo kata ya Nakatunguru anasema amenufaika na elimu hiyo kwani kuna vitu kama kumpa maji mtoto mchanga alikuwa anaona sawa.

Maadhimisho ya wiki ya unyo

















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.