• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

KONGAMANO LA KIDINI LA MAADILI, AMANI NA UZALENDO LA MKOA WA MWANZA LAFANA UKEREWE

Posted on: August 2nd, 2017

Kongamano la kidini la Maadili, Amani na Uzalendo lafunguliwa na mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe SP. Osward Bankobeza. Kongamano hilo lilihudhuliwa  na Kamati ya MKoa ya Amani ikiongozwa na wachungaji, Mapadri na Mashehe. Wakiambatana  na wajumbe wa Kamati ya Amani na Maadili ya kidini Mkoa. Kongamano lilihudhuliwa pia na vikundi tofauti vya kidini toka Wilayani ambao ni wadau waliopokea mualiko wa kuhudhulia ambao ni CCT, TEKI na CPCT. Kongamano liliendeshwa kwa siku mbili.

Lengo la Kongamano hilo lilikiwa ni kuhamasisha amani kwa watu wote bila kujali tofauti zao za kidini ili kuwa na Jamii yenye mshikamano, upendo na Amani kwa watu wote. Mada zilizowasilishwa ni pamoja na Ujenzi wa Maadili na Uzalendo Mada hii iliendeshwa na Askofu ambapo alitoa maana ya Maadili kuwa ni mwenendo mwema ama kutenda haki bila upendeleo kwa watu wote bila kuangalia itikadi zao za kidini au kichama. Aidha Askofu alitoa pia maana ya Uzalendo kua ni hali ya mtu kupenda nchi yake na kua tayari kuitumikia kwa uwaminifu. Ujenzi wa miundombinu ya Amani katika Jamii.

Baba Askofu aliendelea na maada ya pili ya miundombinu ya Amani katika jamaii kwa kusema kua ili amani iendelee kuwepo kwenye jamii zetu ni lazima itengenezewe mazingira ya kuwepo. Alisema Amani ni utulivu wa mazingira mtu anayokaa na Amani ni lazima ihusishe nafsi ya mtu kwa kua chemichemi ya Amani inaanzia ndani ya mtu katika nafsi yake. Aidha aliainisha baadhi ya mazingira ya kutegemea kutengeneza Amani kuwa ni, Makubaliano, Ustahimilivu wa mawazo ya mwingine na Elimu kutolewa kwa jamii.

Mbinu za kutatua Migogogro

Askofu aliendelea kwa kutoa mbinu za kutatua migogoro inapojitokeza katika jamii zetu, alilisisitiza kua watatua hiyo migogoro lazima wawe na utashi wa Kimungu ndani yao kuwawezesha kuona njia sahihi za kutatua migogoro hiyo. Mbinu izo ni, Kutafuta ukweli na chanzo cha jambo hilo pamoja na mbinu sahihi za kutatua, Kushiirkiana na Serikali pale panapohitajika, Kushirikiana na kamati ya Ulinzi na Usalama kutatua jambo.

Aidha Baba Askofu aliainisha  njia nyingine ambazo huwa zinatuwa kutatua migogoro kwa kuwa na nafasi ya kusikiza pande zote mbili na kutotumia mbinu zile zile ziliozoshindwa kutatua jambo hilo mwanzoni, akasisitiza kubadiri mbinu ya kutatua jambo lolote litakalojitokeza.

Miundombinu ya kutatua Migogoro ni kama kusikiliza, kuuliza, kuchambua, kushauri (Usihukumu)

Mahusiano ya Dini mbalimbali

Maada hii iliongozwa na Shehe na alianza kwa kutoa maana ya Mahusiano kua ni fungamano, maelewano na masikiliozano kati ya mtu na mtu au kikund cha watu na watu. Aidha alibainisha kua kuna aina mbili za mahusiano;

Mahusiano mema

Mahusiano mema ni kati ya mtu na mtu na jamii na jamii, Aidha Shehe alibainisha kua mahusiano mema haina maana ya kua wanakubaliana kila jambo ila wanakua wanachukulian kila mmoja anaona mawazo ya mwenzake ni ya msingi kama yak wake. 

Mahusiano mabaya

Shehe alibainisha kua mahusiano mabaya ni yale yasiyo na msingi wa kuleta Amani bali ni machafuko na migogoro baina wa watu au jamii Fulani Aidha alibainisha mahusiano mabaya sio lazima yatokee kwa dini tofauti, watu wa itikadi tofauti bali yanaweza kua kati ya ndugu na ndugu ama watu wa itikadi moja.

 Kamati kuu ya Amani, maadili na uzalendo ya mkoa ilikabidhi maazimio yake kwa mkuu wa wilaya yaliyotokana na mada tajwa zote tatu zilizojadiliwa kwenye kongamano hilo. Lakini pia kamati kuu ya Amani,maadili na uzalendo ya mkoa iliyokuwa inaendesha kongamano hilo ilishauri iundwe kamati ya Amani ya wilaya ikiwa na jumla ya wajumbe 14 yenye kuzingatia idadi sawa toka pande zote mbili yaani 7 waislamu na 7 wakristo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.