• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU YA WATU WAZIMA UKEREWE YAFANA

Posted on: October 2nd, 2017

Wilaya ya Ukerewe kupitia Idara ya Elimu imeadhimisha wiki ya elimu ya watu wazima ambapo kilele chake kilikua leo tarehe 03/10/2017 na kufanyika katika shule ya msingi Nakatunguru iliyopo kata ya Nakatunguru. Mgeni rasmi katika maadhimosho hayo alikuwa mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ambaye ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ukerewe Focus Majumbi.

Focus Majumbi amesema kuwa maadhimisho haya sio ya idara ya elimu pekee bali ni ya watu wote na ndio maana maadhimisho hayo yaliambatana na maonesho ya bidhaa mbalimbali. Amebainisha uwepo wa changamoto ya upungufu wa baadhi ya miundombinu kama vile madarasa, nyumba za waalimu na vyoo kwa baadhi ya shule hivyo kuzitaka jitihada za serikali na Halmashauri, kata na kijiji kuendelea ili kuondoa changamoto hizo. Uwepo wa thana potofu wa elimu bure kuwa wananchi wengi wamekuwa wagumu kuchangia maendeleo ya elimu wilayani tafsiri ambayo sio sahihi. Pia pamekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi kuwalazimisha watoto wao kuto fanya vizuri kwenye mitihani yao na kupelekea kufeli na kuirudisha nyuma ufaulu wa shule, wilaya na mkoa. Hivyo amewataka wazazi wawaache watoto na wawahimize kufanya vizuri kwani elimu ndio msingi wa maisha na ndio urithi mzuri.

Richard Reginard Afisa Elimu msingi amewataka walimu kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kuwatengeneza wanafunzi kufikia malengo yao. Pia watawasaidia serikali kutimiza lengo na adhma ya serikali kufikia nchi ya viwanda. Maadhimisho hayo yaliambatana na maonesho na michezo mbalimbali ambayo yaliwaweka pamoja walimu na wanafunzi pamoja na wananchi. Michezo hiyo ni pamoja na mpira wa pete, mpira wa miguu, kuvuta kamba, kukimbiza kuku, kukimbia na magunia na muziki na ngoma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.