• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MABULLA AAGIZA WANAODAIWA MADUHULI YA SERIKALI KUFIKISHWA KATIKA VYOMBO VYA SHERIA

Posted on: February 19th, 2019

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla. Leo amefanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe na kupokea taarifa ya Idara ya Ardhi iliyowasilishwa na Tewe Shabani Afisa Ardhi.

Shabani Ameeleza kuwa idara Ina michoro 13 ya mipango miji, 9 ikiwa ipo kwenye mji wa Nansio na 4 ni Muriti, Murutunguru, Muhula na Bwisya ambapo jumla ya michoro hii inatoa viwanja 7500.
Urasimishaji wa makazi holela Halmashauri imeanza kufanya mikutano na wananchi katika maeneo 8 ambayo ni Bukongo, makazi mapya, kakerege, nakoza, nakatunguru, murutanga, bugorola na kakukuru.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla amewataka kuongeza kasi ya upimaji wa viwanja. Amewataka Halmashauri na idara ishirikiane na ofisi ya Ardhi kanda kuwashughulikia watu wote waliopewa ilani kwa wadaiwa wote na hawajapelekwa kwenye vyombo vya sheria.

Mabulla ameagiza kufikia mwisho wa mwezi huu wote wanaodaiwa na serikali tangu 2018 mashtaka yao yawe yameandaliwa ofisi ya kanda itasaidia watu hawa wanapelekwa kwenye baraza la ardhi.

Mabulla ameeleza kuwa hivi karibuni mwenyekiti wa Baraza la Ardhi la Wilaya ataripoti wilayani. Hivyo kazi yake yakwanza ashughulike na watu hawa wanaodaiwa na serikali.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Hellen Rocky amemshukuru Mhe. Mabulla kwa kuwezesha kupatikana kwa Mwenyekiti wa Baraza la Wilaya wa kudumu kwani hapo awali aliyekuwepo alikua akitokea Mwanza. Amesema Halmashauri itaendelea kushirikiana na idara kutekeleza majukumu yake.



Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.