• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MADAWATI 374 KUPUNGUZA UHABA KWA SHULE 18

Posted on: July 9th, 2025

Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ndugu Paschal Herman amepokea na kukabidhi jumla ya madawati 374 katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe  mradi uliotekelezwa kwa kiasi cha shilingi milioni 17.58 fedha za mfuko wa Jimbo zilizotolewa Novemba 20,2024.

Akisoma taarifa kwa niaba ya Afisa mipango wa Halmashauri hiyo ndugu Daniel Nalingigwa amesema lengo kuu la mradi ni kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji kwa walimu na wanafunzi katika shule za msingi kwa kupunguza uhaba wa madawati uliopo.

".. manufaa ya mradi huu ni kuongeza idadi ya madawati shuleni katika kukabiliana na tatizo la wanafunzi kukaa chini na kwa msongamano mkubwa .."

Nae Kaimu Afisa elimu msingi Bi.Bahati Mwaipasi amesema madawati hayo yamegawiwa kwa shule 18 za msingi kwa kuangalia shule zilizo na uhitaji mkubwa zaidi.

Ndugu Pascal amewataka walimu wote katika shule madawati yanakokwenda kuhakikisha yanatunzwa vizuri ili yadumu na kutumiwa na wanafunzi wengi kwa kipindi kirefu yakiwa na ubora wake.

Ameongeza kuwa serikali ya awamu ya sita imeleta fedha nyingi za miradi kwa ajili ya maboresho katika sekta za afya,elimu,miundo mbinu ya barabara huku akiitaja Ukerewe kuwa miongoni mwa maeneo yaliyonufaika nchini huku akiwataka wananchi kupokea heshima hiyo kwa kubeba umiliki wa miradi hiyo.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Ndugu Vicent Mbua ametoa shukrani kwa serikali ya awamu ya sita na ofisi ya mbunge kwa kuchochea wananchi kuendelea kuhamasika kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo ndani ya jamii sambamba na kuwataka wakuu wa shule kuweka mkakati wa namna ya kutunza madawati na kufanya marekebisho kwa wakati pale inapobidi.

Robert Chacha ni Mkuu wa shule katika shule ya msingi Ihebo iliyopo kata ya Muriti yeye anatoa shukrani kwa uongozi wa Halmashauri kwani ongezeko la madawati 20 aliyopewa kwa ajili ya shule yake yatapunguza uhaba na kuleta chachu ndani ya jamii yao kuona umuhimu wa kuchangia miradi ya kijamii.














ReplyForward


Add reaction










Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.