• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MAFUNZO YA KANUNI NA MIONGOZO UENDESHAJI ZOEZI LA UTOAJI MIKOPO YA 10% YAZINDULIWA RASMI

Posted on: September 12th, 2025

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe ambaye pia ni Mkuu wa divisheni ya maendeleo ya jamii ndugu Wanchoke Chinchibera amefungua rasmi mafunzo ya siku tatu kwa ajili ya maafisa maendeleo ya jamii wapya katika jukumu hilo lengo likiwa ni kujenga uelewa wa pamoja juu ya kanuni, miongozo ya uendeshaji wa zoezi la utoaji mikopo ya 10% ya Halmashauri ambapo 4% ni kwa ajili ya wanawake,4% vijana na 2% kwa ajili ya watu wenye ulemavu .

"..Ni utaratibu wa kawaida tunapokuwa na watumishi wapya kuwaelekeza namna tunavyofanya kazi ili twende pamoja katika utekelezaji mzuri wa kazi zetu.Mfahamu mnawajibika kuzitambua mila na desturi za jamii tunayoihudumia ili muwezeshe kutoa huduma stahiki na kuepuka migongano isiyokuwa ya lazima.."

Akiongoza mjadala Mratibu Uwezeshaji wa wananchi kiuchumi wilaya ya Ukererwe, ndugu Makungu S Makungu amesema ni muhimu kwa maafisa hao kujengewa uwezo katika masuala ya elimu kwa wajasiriamali na kupata ujuzi na kuongeza tija katika masuala yote yanayohusu maendeleo ya jamii.

Nae Msajili Msaidizi wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Bi.Rhoda Ogada amewasilisha mada ya utambuzi na usajili wa wafanyabiashara wadogo wadogo (WBN) na kubainisha makundi ya Wamachinga, Mama au Baba lishe, Bodaboda, Wauza genge na wafanyabishara wengine ambao mitaji yao havuki shilingi  milioni 4,000,000 kuwa wanatakiwa wajisajili ili kupata kitambulisho cha mjasiriamali kwa gharama ya Tsh. 20,000 ndani ya miaka mitatu na kutambulika na Halmashauri.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Dawati la Msaada Kisheria Bi.Janeth Lemi akiwasilisha mada ya Huduma ya utoaji wa msaada kisheria amewaomba maafisa hao kutambua migogoro mbalimbali inayoihusu jamii na kuwa na utangulizi juu ya utatuzi wa migogoro hiyo huku akiorodhesha baadhi ya kesi ambazo dawati hilo linahusika nazo ikiwemo migogoro ya mirathi, ndoa, ardhi, unyanyasaji wa kijinsia, kazi na ajira na matunzo ya mtoto kwa jamii .

Anitha Manyanya ni Afisa maendeleo ya jamii kata ya Murutunguru yeye anashukuru kupata mafunzo hayo ambayo anasema yamempatia mwanga na dira katika majukumu mapya

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI AKABIDHIWA MELI YA MV BUTIAMA KUANZA KAZI RASMI

    September 20, 2025
  • JAMII TUNAWAJIBIKA KULINDA AMANI YETU - DC NGUBIAGAI

    September 19, 2025
  • WAJAWAZITO WASHAURIWA KUANZA KLINIKI MAPEMA

    September 18, 2025
  • MAFUNZO YA KANUNI NA MIONGOZO UENDESHAJI ZOEZI LA UTOAJI MIKOPO YA 10% YAZINDULIWA RASMI

    September 12, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.