• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Majaliwa awataka watumishi kufanya kazi kwa uweledi kwa maendeleo ya Taifa.

Posted on: February 18th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Ukerewe kuanzia tarehe 18-19 Februari 2018 ambapo katika ziara hiyo amekagua na amezindua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri kupitia fedha za Serikali.

Majaliwa amefanya kikao na watumishi wa Halmashauri na Serikali na amesema lengo kuu ni kufahamiana na kuwa sehemu yao na watumishi na kuona na kukagua shughuli za maendeleo inayoenda sambamba na kukumbusha wajibu, kutoa msimamo wa Serikali ambao ni kufanya kazi kwa bidii na kutekeleza kauli mbiu ya awamu ya tano ya “hapa kazi tu” 

Majaliwa amekagua na kufungua miradi ya maendeleo kama mradi wa mabweni ya wanafunzi katika shule ya sekondari Pius Msekwa iliyoka kata ya Murutunguru,  yaliyogharimu Milioni 259 na kila bweni linauwezo wa kuchukua wanafunzi 160, amepongeza mradi huo wenye viwango na amewataka wanafunzi kutunza miundombinu iliyogharimu serikali ili itumiwe na vizazi vingi vijujavyo.

Akiwakatika shule hiyo Mkuu wa Shule alieleza changamoto ya kuwepo na wanafunzi wengi lakini kukosa gari la shule hivyo Mhe. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Mkurugenzi kupeleka gari moja liwe la shule jambo ambalo limepokelewa kwa furaha kubwa na wanafunzi na wakazi wanaozunguka shule hiyo.

Majaliwa amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Bwasa, kata ya Igalla Mradi ambao umekua borakwani unahudumia vijiji vingi pia amezindua kituo cha afya cha Nakatunguru na katika kituo hiko amewapa chanjo yam atone kwa watoto wadogo na kupongeza kwa ujenzi wa kituo bora chenye viwango. Lengo la kituo hiko ni kuhakikisha Hospitali ya Wilaya inakuwa hainamsongamano mkubwa ilikuhudumia vizuri wagonjwa wanaotoka katika vituo vya afya.

Jioni Majaliwa amezungumza na Wananchi wengi wa Ukerewe walio jitokeza katika viwanja vya Getrude Mongella ambapo alisikiliza na kujibu kero mbalimbali za wananchi nyingi zilihusu ardhi, maji na afya. Hivyo amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Estominh F. Chang’ah kukutana na watu kila wiki ilikutatua kero za ardhi akiwa pamoja na watumishi wa idara ya ardhi wa Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.