• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MAPAMBANO DHIDI COVID-19 UKEREWE YAPAMBA MOTO,WATU WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI

Posted on: April 22nd, 2020

Mkuu Wa Wilaya Ya Ukerewe Mhe. Cornel Magembe amekutana na baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Ukerewe Leo Tarehe 22/4/2020 Katika eneo la standi ya zamani lengo likiwa kutoa maelekezo mahususi juu ya mapambano dhidi ya Ugonjwa wa COVID 19.

Magembe Ametoa elimu ya COVID-19 kwa wananchi wa Ukerewe kwa kuwataka Wananchi wazingatie maelekezo na tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wa afya kwani wao Ndio wenye ujuzi na afya ya binadamu.

Aidha ameelekeza kuwa katika kupambana na maradhi Haya imetupasa kuwa na uelekeo wa pamoja kama Wilaya hivyo kupitia hadhara hiyo ameelekeza wanaukerewe kufanya mambo muhimu yafuatayo

Watoto kwenda sokoni na minadani na kuzuruza mitaani sasa MARUFUKU. "Pamekua na watoto wengi ambao wanazurura mitaani bila shughuli maalumu, naelekeza kuwa wakae majumbani na kujisomea" alisema Magembe.

Aidha Watoto kwa kipindi hiki tunapoendelea katika janga hili la maradhi watoto hawataruhusiwa kwenda kanisani au msikitini bali wakae majumbani.

Magembe amesisitiza pawepo na utaratibu wa kuachiana nafasi kwa Waumini wa madhehebu Mbalimbali wanapokua wanashiriki ibada ikiwa ni tahadhari za kulindana na maradhi. "Benchi lililokuwa linakaliwa na watu wanne sasa wakae wawili".

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe amewataka wageni wanaokuja kwa shughuli ya Mazishi wawakilishe Watu wache sana na wote watakaoingia kutoka nje ya Ukerewe wafahamike na waandikwe ili iwerahisi kuwafatilia ikitokea watakua maradhi, hivyo kuanzia sasa baada ya mazishi yoyote yale pasiwepo matanga.

Kuanzia sasa Ibada za Usiku Ni marufuku kwani ufuatiliaji wa tahadhari za corona kama zinafuatwa kwa wakati huo ni ngumu hivyo ibada hizo zisitishwe mara moja.

Maeneo ya starehe kama baa na migahawa ni marufuku kuuza bila utaratibu Wa take away au kwenye meza wakae Wawili tu na sio vinginevyo. Mikusanyiko isiyokuwa Ya Lazima ya Lazima mfano kucheza karata au bao Sasa basi.

Magembe amepiga marufuku Disco kwenye bar au Disco vumbi pamoja na utazamaji wa television vibandani. Kila mmoja atulie nyumbani na sio kuwa na Safari zisizo na lazima.

Wafanya biashara ya boda boda kuacha mara moja tabia ya kukaa kwenye mikusanyiko wakiwa wanasubiri abiria.

Wamiliki wa guests Wazingatie kuchukua taarifa za wateja wao vizuri Ili Kama Kuna Mtu anayetoka mahali ambapo Kuna maambukizi wawekwe karantini.

Magembe amewataka wanaukerewe kujenga tabia na kunawa mikono mara kwa mara ilikujiepusha na maradhi Haya, amewataka kuweka ndoo na sabuni katika kila biashara.

Kwa wauzaji Wa Vitakasa mikono Na ndoo kuuza kwa Bei ambayo sihalali na elekezi ya Serikali hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.