• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MAPATO YA NDANI NI UTI WA MGONGO WA HALMASHAURI YETU - MHE.MAZIGE

Posted on: December 5th, 2025

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Mhe.Ramadhani Salum Mazige ameanza majukumu yake rasmi leo Disemba 05 ,2025 akiwasihi waheshimiwa madiwani kuongeza juhudi zaidi katika usimamizi wa ukusanyaji mapato kwani mapato ndio injini ya uendeshaji wa taasisi nyingi duniani.

Akizungumza wakati wa kikao maalum cha baraza la madiwani la kwanza kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri Mhe.Mazige amesema baraza hilo litajikita zaidi katika masuala ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

"..Muwe na uchungu kwa nini mmekuwepo  hapo mlipo, tunapaswa kujenga imani kwa wananchi ,kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa viwango vinavyokubalika ,ni lazima tukusanye mapato ili tufanikishe yote haya.Nawapongeza baraza lililomaliza muda wake wamefanya kazi nzuri.Natamani Halmashauri yetu iende mbele zaidi.."

Kikao hicho kilitanguliwa na waheshimiwa madiwani kuapishwa kiapo cha ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma na cha madiwani.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai amewaasa madiwani hao kuwa chachu ya umoja na amani katika maeneo yao.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo ndugu Vincent Augustino Mbua amewasilisha taarifa ya uwajibikaji wa Halmashauri kwa kipindi chote tangu baraza la madiwani lililopita kuvunjwa (Juni - Oktoba 2025) huku akibainisha kuwa Halmashauri iliweka makisio ya kukusanya na kupokea jumla ya kiasi cha shilingi Bilioni 55,568,650,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali.

Angela Matoke ni mkazi wa kata ya Nkilizya  anawapongeza madiwani wote na kuwaomba watimize ahadi zao walizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi kwenye mikutano yao ya hadhara.



















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA USAILI December 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MAPATO YA NDANI NI UTI WA MGONGO WA HALMASHAURI YETU - MHE.MAZIGE

    December 05, 2025
  • WALIMU WAASWA KUWA WABUNIFU NA WASIKIVU

    December 04, 2025
  • UADILIFU NA UWAJIBIKAJI KWA WALIMU NI NGUZO YA MAFANIKIO

    December 03, 2025
  • DC NGUBIAGAI AWAASA VIJANA KULINDA AMANI

    December 01, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.