• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WALIMU WAASWA KUWA WABUNIFU NA WASIKIVU

Posted on: December 4th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai amewaasa walimu wakuu wa shule za sekondari na maafisa elimu kata wote kuwa wabunifu na wasikivu kwa kuzingatia kuwa sekta ya elimu ndiyo eneo pekee lenye uwezo wa kumjenga mtu awe bora au vinginevyo.

Akizungumza wakati wa kikao na walimu hao katika shule ya sekondari Bukongo  Cde.Ngubiagai amesema uongozi mwema huanza kwa kusikiliza , kiongozi ambaye hasikii,hasikilizwi na kuwataka kuwasikiliza wanaowaongoza na kutoa maamuzi kwa hekima.

"..msikilize mwanafunzi,mzazi kwani usikivu huleta umoja,amani na uaminifu.."

Aidha amewataka walimu hao kuwa wabunifu kwa kuanzisha klabu za sayansi,TEHAMA sambamba na kuanzisha mifumo ya kuibua vipaji kupitia michezo na sanaa mbalimbali.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ndugu Vincent Augustino Mbua amewapongeza walimu hao huku akikiri kuwa pamoja changamoto mbalimbali za kijeografia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo walizonazo wameendelea kujitahidi kitaaluma na wamekuwa msaada mkubwa katika mazoezi mbalimbali ya kitaifa kama vile mitihani na uchaguzi.

".. mfanye kazi kwa kufuata miongozo,kanuni,taratibu na sheria zilizowekwa hasa sheria za manunuzi ili muepuke hoja zisizokuwa za

 msingi.Mkumbuke suala la lishe ni agenda yetu ya kudumu."

Leonard Ngobolo na Pius Manda ni wakuu wa shule za sekondari Chabilungo na Mumbuga wao katika nyakati tofauti wametoa kongole kwa uongozi wa Ukerewe uliopo kwa kuchagiza mabadiliko na maendeleo ya kasi ndani ya Wilaya hiyo.

"..tunawaombea Mungu awalinde muendelee kuwepo,tunahitaji kuwa mfano mzuri wa kuigwa na Halmashauri zingine hapa mkoani Mwanza na taifa kwa ujumla.."


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WALIMU WAASWA KUWA WABUNIFU NA WASIKIVU

    December 04, 2025
  • UADILIFU NA UWAJIBIKAJI KWA WALIMU NI NGUZO YA MAFANIKIO

    December 03, 2025
  • DC NGUBIAGAI AWAASA VIJANA KULINDA AMANI

    December 01, 2025
  • AGENDA YA LISHE IWE YA KUDUMU

    December 01, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.